Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DUUHUmri wake ni miaka 37 mwakani mwezi wa 2 tarehe 5 atakuwa na miaka 38.
Amesaini mkataba wa kufuru utakaomfanya kulipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yoyote duniani!
View attachment 2464460
duh nmebidi tu nikae kimyaUmri wake ni miaka 37 mwakani mwezi wa 2 tarehe 5 atakuwa na miaka 38.
Amesaini mkataba wa kufuru utakaomfanya kulipwa pesa nyingi kuliko mchezaji yoyote duniani!
View attachment 2464460
Cheza mpira mbona simple sanaHii Dunia haipo fair kabisa,,
Unaweza ukajitumbukiza kwenye dimbwi la mawazo ukiyafikiria maisha ya mwingine..
Dah!!!..
Tatizo nyota mkuuCheza mpira mbona simple sana
Wavaa kobaaz wameacha kufadhili magaidi sasa wanawekeza kwenye michezo. Aise Mungu ni mkubwa sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwa mwezi napata laki 3tuPiga hesabu wewe kipato chako cha mwezi ni shs ngap alafu linganisha na Ronaldo!
Mkuu sio wote, usigeneralize tafadhali. Ugaidi ni hulka ya kishetani, haina haiba yoyote na dini fulani. Futa kauliWavaa kobaaz wameacha kufadhili magaidi sasa wanawekeza kwenye michezo. Aise Mungu ni mkubwa sana[emoji2957][emoji2957][emoji2957]