bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,530
- 20,988
Kwanini League 1 inatoa timu mbili champions League ?Aulizwe tena vizuri Labda alimaanisha Ligue 1 La pale ivory coast wanaloshiriki Timu kama Asec mimosas, Denguele na Zoman.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini League 1 inatoa timu mbili champions League ?Aulizwe tena vizuri Labda alimaanisha Ligue 1 La pale ivory coast wanaloshiriki Timu kama Asec mimosas, Denguele na Zoman.
Mkuu Ligi la Saudia nivituko vitupu ukipata nafasi vizuri anza kufatilia mechi zoa ujionee uozo, Naimani Al nassr haiwez kuifunga hata Le havre ya ufaransaInaawzekana kukawa na timu moja nzuri sana lakini zingine hakuna kitu, ubora wa ligi haiangaliwi timu moja tu. Pale ufaransa psg ni timu bora lakini je wengine vipi? wanakaribiana na ubora wa psg?
🤣🤣🤣Kwamba atakuwa kajichanganya pahala wakati wa kutoa maelezo yakeAulizwe tena vizuri Labda alimaanisha Ligue 1 La pale ivory coast wanaloshiriki Timu kama Asec mimosas, Denguele na Zoman.
Kaka hata kama ingekuwa inatoa timu moja ila kinachoangaliwa ni Ubora wa Timu moja moja, hata kama Ligue 1 ni mbovu huwez linganisha na ligi la saudia ambalo wachezaji waliokwisha jiishia ulaya ndo wanaenda huko na kugeuka kuwa maGod father wao,Kwanini League 1 inatoa timu mbili champions League ?
Bila shaka kajichanganya🤣🤣🤣Kwamba atakuwa kajichanganya pala wakati wa kutoa maelezo yake
Basi kuna haja ya kuyafanyia uchunguzi maneno yakeBila shaka kajichanganya
[emoji23][emoji23][emoji23] Hajachanganyikiwa yupo kibiashara , ki anaipigia debe ligi ya Saudi ila ukweli anaujuaHuyo ronaldo toka aende uarabuni ni km amechanganyikiwa
Jamaa amejua kucheza na akili za waarabu aiseeBasi kuna haja ya kuyafanyia uchunguzi maneno yake
[emoji599] Cristiano Ronaldo: “𝐒𝐚𝐮𝐝𝐢 𝐋𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞 𝐢𝐬 𝐛𝐞𝐭𝐭𝐞𝐫 𝐭𝐡𝐚𝐧 𝐋𝐢𝐠𝐮𝐞𝟏 already now, I’m sure of that" [emoji1210]
◉ “Saudi Pro League is more competitive than Ligue1, I can say that after one year spent there and I’m sure”.
◉ “We are better than French league already now”.
◉ “I feel so happy at Al Nassr Saudi is in a process, it will take long… but then they will go to the top level”.
◉ “Saudi Pro League will be among 𝐭𝐨𝐩 𝐭𝐡𝐫𝐞𝐞 𝐥𝐞𝐚𝐠𝐮𝐞𝐬 𝐢𝐧 𝐭𝐡𝐞 𝐰𝐨𝐫𝐥𝐝! So people in Saudi will be proud for sure”.
◉ “I was the best goalscorer this season at almost 39… imagine beating young animals like Haaland, proud!”.
◉ “𝐑𝐞𝐭𝐢𝐫𝐞𝐦𝐞𝐧𝐭 plans? The moment I feel I’m done, I’ll retire… and so 𝐦𝐚𝐲𝐛𝐞 𝐢𝐧 𝟏𝟎 𝐲𝐞𝐚𝐫𝐬!”, Cristiano says [emoji1]
Au Ligue 1 ya AlgeriaAulizwe tena vizuri Labda alimaanisha Ligue 1 La pale ivory coast wanaloshiriki Timu kama Asec mimosas, Denguele na Zoman.
Monaco, Marseille, Lile, Nice, Lens n.k unaweza kuzifananisha na team gani pale Saudi? Ronaldo tunamuacha abwabwaje maana ndo kula yake (kumbuka ni balozi wa ile ligi) ila hata yeye uhalisia anaujua. Hiyo ligi kuifananisha na Ligue 1 ya France ameenda mbali mno maana hata akiilinganisha na Ligi ya Scotland tu haitoboi!Inaawzekana kukawa na timu moja nzuri sana lakini zingine hakuna kitu, ubora wa ligi haiangaliwi timu moja tu. Pale ufaransa psg ni timu bora lakini je wengine vipi? wanakaribiana na ubora wa psg?
NAKAZIA.Mkuu Ligi la Saudia nivituko vitupu ukipata nafasi vizuri anza kufatilia mechi zoa ujionee uozo, Naimani Al nassr haiwez kuifunga hata Le havre ya ufaransa
DuhMonaco, Marseille, Lile, Nice, Lens n.k unaweza kuzifananisha na team gani pale Saudi? Ronaldo tunamuacha abwabwaje maana ndo kula yake (kumbuka ni balozi wa ile ligi) ila hata yeye uhalisia anaujua. Hiyo ligi kuifananisha na Ligue 1 ya France ameenda mbali mno maana hata akiilinganisha na Ligi ya Scotland tu haitoboi!
Kaka hata kama ingekuwa inatoa timu moja ila kinachoangaliwa ni Ubora wa Timu moja moja, hata kama Ligue 1 ni mbovu huwez linganisha na ligi la saudia ambalo wachezaji waliokwisha jiishia ulaya ndo wanaenda huko na kugeuka kuwa maGod father wao,
hebu tuongee tu ukweli Yule koulibaly anaweza kukimbizana au kuhimili usumbufu wa mchezaji kama Doku ? Au ronaldo anaweza kumpita kwa speed au hat kwa ufundi wowote beki kama Akanji ?
Ile iliyocheza group moja na Arsenal ilikuwa inatoka ligi gani ya Ufaransa?Kwanini League 1 inatoa timu mbili champions League ?
Hicho si kigezo, sababu ligi hiyo utamu umeanza msimu huu na hapo kati ittihad kapoteana kimtindo., unadhani al ahly angemfunga al hilal au al nasr ya msimu huu?
Haiwezekan mzee league 1 ina wapambanaji kuliko huko vipaji vingi vya watu wa Africa vinaanziaga huko league 1, hiyo timu yao hata wakicheza na Metz hawapati matokeo sasa nenda kaangalie Metz ni ya ngapi kwenye league 1 , ufaransa kuna vipaji sana mastainaezekana kwa ligi 1 lakin kwa top three never
League 1 sasa hao waarabu wakocheza na Lens si wanakula hamsa ?Ile iliyocheza group moja na Arsenal ilikuwa inatoka ligi gani ya Ufaransa?
Kweli kabisa na Le havre yupo league 2 kama sio champion National, , timu za uarabuni haziwez kuifunga Al Ahly ya Egypt wataweza kuruka na kina brest kweli ?Mkuu Ligi la Saudia nivituko vitupu ukipata nafasi vizuri anza kufatilia mechi zoa ujionee uozo, Naimani Al nassr haiwez kuifunga hata Le havre ya ufaransa