Cross Examination Documentation

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Naomba thread hii iwe inakusanya video na documentations zote zinazohusu cross-examinations za kesi mbalimbali mahakamani kutoka pande mbalimbali za dunia.

Kati ya vitu huwa napenda sana kwa wanasheria ni pale wanapoonyesha uwezo wa cross-examination dhidi ya shahidi. Marehemu Lamwai alifanya cross-examination moja ambayo ilituachia msamiati wa Ukihiyo
 
Ipo ya Kibataka vs Kamanda Hamdani humu.

Ipo ya Lissu vs .......( nimemsahau)

Zinavutia sana.
 
Kama unaweza, tafuta link zake.
 
Angalia lawyer anvyokutana na engineer kwenye kiti cha shahdi wakati wa cross examination.

 
Defense lawyer apambana kumkinga mteja wake wakati wa cross examination ya mteja wake.


Huyo defense lawyer ni kiboko kwelikweli; "Don't lecture me; I was doing this when you were still chasing cheerleaders." LMAO!!!!!!!
 
Kirambasi
Duh! Mzee umenirudisha hapa; huyo Lawyer mimi nikiwa na kesi ndiye wa kutafuta, siyo Mr Macharia wa Nairobi aliyeyumbishwa na swali dogo sana la yule mama jaji kuanzia dakika ya 2:50
 
Duh! Mzee umenirudisha hapa; huyo Lawyer mimi nikiwa na kesi ndiye wa kutafuta, siyo Mr Macharia wa Nairobi
Ahahaha hatari sana, Lamwai yalikua mambo yake hayo enzi zake.
 
Jamaa anatwanga kila swali kwa jibu moja tu:

Objection: Argumentative, calls for speculations , no foundation, vague and ambiguous
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…