Crossroads!

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Jamani eeh kuna kibinti NAKIPENDA sana na kwangu kina sifa za kuwa mke bora kabisa. Sasa tabu ni kwamba
1. Kuna wakati nlikuwa karibu sana na dada yake so anahisi nlimdate dada yake na sasa nataka kumdate yeye pia [ukweli tulikuwa marafiki tu na hatukufikia ku-date]
2. Mama yake ananipenda sana na ananichukulia kama mwanae [mpaka wakati mwingine najiuliza kama kum date mwanae ni sawa]

Dah msaada jamani nifanye nn coz najua hiki kibinti kinanipenda pia ila tu kinaogopa zogo na dada yake
 
Yaani ume-meet vigezo vyote vya kumchukua huyo binti, madam dada yake ni rafiki yako mkubwa basi unaweza kumueleza juu ya pendo lako kwa mdogo wake ili akusaidie kumuondoa wasiwasi kwamba hamkuwa pamoja. Ila uwe na uhakika kuwa dada mtu hana kabisa wazo la kuwa na wewe, vinginevyo utaharibu kote..

Kama mama mtu anakupenda yaani una nafasi kubwa sana ya kukubalika kwake kama mkwe kwa sababu ameonesha kuwa na imani na wewe mpaka akafikia kukupenda kama mwanaye. Good luck
 

Umemaliza kila kitu,na topic imefungwa
 
not so fast speaker...
ukishaongea na dadake, na ikawa shwari talk to that gal na umsisitizie kuwa hujawahi kutoka na dadake na dadake aongee nae pia.ila kuweka imani zaidi make it official kama huna kizuizi sasa (kama shule etc). ila nikutahadharishe, mahuiano ya aina hii kama ikitokea yasipo-workout, it is nastier! utahama hadi nchi kwa aibu, u wont stop looking over ur shoulder. unless u ar a good boy, dont try this at home
 
pole sana, kama dada yake anajua ishu zako za vimwana huwezi kumpata huyo binti, ila kama upo shwari hapo umejitwalia kabint kiulaiini
 
Tabu iko hapo, tumewahi kuongelea hilö na tukakubaliana dada yake akirudi tuclarify hilo, but alivyokuja akaogopa tena.
Sasa sina uhakika na hisia za dada mtu kwangu na sijui alichowahi kusema juu wakiwa wenyewe huko
 
Aisee kama dada mtu anasita inabidi usilazimishe sana mambo, hapo ni suala la wewe kukomaa zaidi na binti bila kumshirikisha dadake,, kama dada mtu anakutaka pia basi kuna uwezekano wa bifu kuibuka.. Hekima, busara, uvumilivu na ujasiri vitahitajika sana ktk hali hii, kama mu marafiki wakubwa ikiwezekana angalia uwezekano wa kutoharibu mambo na uachane na huo mpango wako kwa mdogo mtu...!
 
Kuna wakati nawaza kuachana na mpangö mzima but tunaweza tucwacliane hata kwa mwezi but tunajikuta tumeanza tena
 
mwombe dada yake amfunulie ukweli bila ya kificho vinginevyo naona umekwama hapo...........................mitazamo ya mama haina mashiko iwe mizuri au la.................
 
Kuna wakati nawaza kuachana na mpangö mzima but tunaweza tucwacliane hata kwa mwezi but tunajikuta tumeanza tena

Sijakuelewa hapo. Unaposema mnajikuta mmeanza tena, inakuwa mnaanza kitu gani ilhali kuna ngumu amekuwekea? Au una maana kuwa hizo hisia zenu ni mutual? Je dada mtu/rafikio ulimueleza lengo lako juu ya kumuoa mdogo wake au mliongelea juu juu tu? Isije ikawa anahisi huna malengo na mdogo ake ndo maana anasita.. Je status yako kwa dada mtu iko safi? Kwa maana kuwa huna sifa chafu machoni pake?
 
Mi cjaongea na dada mtu, initially nilimwambia mdogo mtu amuulize dada yake lkn she culdnt, then nikamwambia mi ntamuuliza na ye akiwepo, akakubali but nlipotaka kumuuliza akanizuia. I can say therez somethn pullin us together bt also therez somethin that doesnt want us to connect
 
sasa tatizo ni kwamba mnaogopa zogo tu ......
au ???
 
pole sana, kama dada yake anajua ishu zako za vimwana huwezi kumpata huyo binti, ila kama upo shwari hapo umejitwalia kabint kiulaiini
Hahah..menifurahisha mkuu..
Simu yangu imekosa tu kitufe cha like na thank!
 
Afrodenzi, kitu kama hicho
 
Kutegemeana na malezi/mazingira ya dada mtu, anaweza kukuwekea kauzibe.. Lkn kuna maswali muhimu hapa: Unajua chochote juu ya maisha ya kimapenzi ya dadamtu? Amewahi kumtambulisha au kumuongelea mchumba/mpenzi wake mbele yako? Kama alikuwa wazi kwako anaweza kukusaidia. Pia kama uko serious na kabinti unaweza kumtumia mtu mzima anayekubalika kwake kumuhakikishia kuwa hujawahi kuwa ma mahusiano na dadaake. Lkn kama unataka kugonga tu.... Unalo.
 
Wel moja cwezi hata kuwa na wazo la kugonga tu maana shez mo than that. Dada mtu yeah tulikuwa tunapeana umbea mwingi sana zamani
 
wewe mwenyewe mwambie rafiki yako yaani dada mtu umempenda mdogo wake na unataka kumuoa,unamsubiria yeye amwambie dada yake wa nini? Wewe uko karibu sana na dada mtu jitose mwenyewe
 
<br />
<br />
endelea kuchelewesha, ipo siku utaitwa shemeji.
 
Una nyumba kijana?
Kazi?
Usafiri je?
Tembocard mastercard?

Kama yote ni safi andaa msimamizi wa harusi, suti nk mke ushapata, Just break the nuz!

 
Dah nimependa strategy ya huyo mamamkwe mtarajiwa yaani hapo kajua kama hukuchukua mkubwa utachukua mdogo........kwa nini asikupende vijana kama weye ni adhimu sana kuwapata nyakati za leo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…