CROWN MEDIA IMEBADILIKA SANA

CROWN MEDIA IMEBADILIKA SANA

Burure

Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
42
Reaction score
96
Hii media ilivyoanzishwa tuliona kama ni mkombozi kwenye Tasnia hii kwa kutoa habari za ukweli na uhakika lakini ghafla imekuwa ndivyo sivyo...


Toka imeingia ubia na AZAM MEDIA imebadilika sana maana tangu walivyoreport tukio la MAANDAMANO ya CDM imepoa sana...

Wamepunguza kureport Taarifa za kisiasa na majadiliano yenye tija kwenye jamii na wamekuwa kama media nyingine ni UMBEA na MICHEZO

Tatizo litakuwa ni nini haswa?
 
Hii media ilivyoanzishwa tuliona kama ni mkombozi kwenye Tasnia hii kwa kutoa habari za ukweli na uhakika lakini ghafla imekuwa ndivyo sivyo...


Toka imeingia ubia na AZAM MEDIA imebadilika sana maana tangu walivyoreport tukio la MAANDAMANO ya CDM imepoa sana...

Wamepunguza kureport Taarifa za kisiasa na majadiliano yenye tija kwenye jamii na wamekuwa kama media nyingine ni UMBEA na MICHEZO

Tatizo litakuwa ni nini haswa?
wameingia ubia na azam, ubia gani huo, kwamba watakuwa wanakopi inclusive/exclusive report za azamu?
 
Back
Top Bottom