Crown series hazijatendewa haki.

Is that what you got?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sema crown kwa toyota gar za chini hujakosea kibaki huwa kinadai haswa
 

Kuna ujanja wa kuziwekea adjustable shock up tena heavy duty ...120 unalala nayo kiroohoo safiiii
 
Mkuu maisha yanabadilika utashangaa huyo unasema mlinzi siku anakupita ba Ranger ya 2020 ukihangaika na Crown yako kuipata 180...
Mkuu kuna watu wana dharau sana asee, nimeandika uzi wangu vizuri tu jamaa anakuja from no where ananiita mi ms*nge, just imaGINE, sijamkosea chochote, kama uzi hajaupenda si lazima achangie....fuatilia vizuri ujue nani anaanza kumtusi mwenzie....sipendi na sina tabia za kuwa dis respect watu...ila huyu jamaa sijui anatokea kwenye familia ina malezi gani...atakuwa choko wa mtaani tu...huwezi mtukana mtu for no reason....
 
Sawa mchichapori a.k.a mchelemchele najua nimekugusa ikulu leo, me hata hiyo kazi ya ulinzi sina yaani nakula kulala tu kwa shem wangu kama wewe tu sema we umenizidi umepewa na crown la shemeji yako sasa sijui umempa kwa mpalange au vipi.
Nitolee uchawa ... huna heshima na nidhamu kila mtu humu unaona ni mlinzi kama wewe... Bro natengeneza six figures per month... nakumudu wew na familia yenu yote naona watakua wanakutegemea... mi nawafuga nimekwambia ni pm kama una shida ya kazi...
 
Huyo sio mzima mkuu comments zake tu zinaonesha hayuko sawa.
Nilijua tu nikasema utapakwa mafuta... kumbe ulishawahi hata kufumwa wakataka kukupaka mafuta... aseee... endelea na wake za watu.. kijana utakufa kifo kibaya...
acha kudanga bro...am serious....
naamini mpaka sasa wewe ni bwabwa.... huna hadhi ya kujibizana na mimi hapa tena kwenye uzi wangu we choko...



 
Kuna ujanja wa kuziwekea adjustable shock up tena heavy duty ...120 unalala nayo kiroohoo safiiii
Hapana that time sikuwa na crown...nilikuwa na hii gari inaitwa Nadia, mzinga wa pili nilikuwa na Rav4 killtime... from there huwa nipo makini road....ila gari ikiwa chini ndio nzuri hata aerodynamic yake inakuwa poa sana na centre of gravity inakuwa low... so inaipa uwezo mkubwa wa kutembea kwa kasi... huwa wanakosea kuzipandisha hizi athlete..
 
Ngoja waje.....ila utani pembeni Crown inakata 180kph kama utani! mchichapori engine peke yake si kigezo cha gari kuachiwa izidi 180kph. Kama umeendesha gari nyingine kama BWM au MB utajua kwanini imezuiwa hapo inapofika.
 
Is that what you got?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sema crown kwa toyota gar za chini hujakosea kibaki huwa kinadai haswa
Ila kuanzia 130 ikitokea kitu cha dharura ukiweka mguu kati kimuhemko tunakuzika,crown mfumo break ukiwa kwenye mwendo ukikanyaga break inabiduka
 
Ngoja waje.....ila utani pembeni Crown inakata 180kph kama utani! mchichapori engine peke yake si kigezo cha gari kuachiwa izidi 180kph. Kama umeendesha gari nyingine kama BWM au MB utajua kwanini imezuiwa hapo inapofika.
Exactly mkuu... acceleration yake si ya kitoto... kuna gari zipo above 180km/h ila haziku deserve kabisa... mfano bmw 320i haikupaswa kuzidi 180km/h.
 
Exactly mkuu... acceleration yake si ya kitoto... kuna gari zipo above 180km/h ila haziku deserve kabisa... mfano bmw 320i haikupaswa kuzidi 180km/h.
Hizo zimeruhusiwa kufika huko kwasababu ya uwezo wake wa kuhimili huo mwendo. Ukiwa 180kph na BMW sio sawa na ukiwa 180kph kwenye Crown.
BMW na wenzie kama huangalii speedometer unaweza kujikuta uko 200kph ukidhani uko 80kph.
 
Acheni tu watulimit 180kmph....

Engine yake sawa inaweza kuvuka bila shida ila components nyingine za gari kuhandle mwendo mrefu zikoje? Tyres zina temperature na traction na speed rating inayotakiwa? Suspension kwa ajili ya kona za ghafla? Brakes kwa ajili ya emergencies? Ushawahi kukanyaga breki ya mjapani at 180kmph? Usiwaze sana 0 - 180, waza pia 180 - 0.

Your browser is not able to display this video.


Naongea from experience, engine nnayotumia ina power kubwa sana hata crown hazifiki. 30 seconds ishapiga limiter.
 
Hizo zimeruhusiwa kufika huko kwasababu ya uwezo wake wa kuhimili huo mwendo. Ukiwa 180kph na BMW sio sawa na ukiwa 180kph kwenye Crown.
BMW na wenzie kama huangalii speedometer unaweza kujikuta uko 200kph ukidhani uko 80kph.
Broke My Wallet ipo comfort sana barabarani, ila kwa hizi 320i 4 cylndr baada ya 180 acceleration ni kama unasikia kifurushi 6 gb halafu 2gb za mwanzo unatembea na 5mb/sec zikiisha 4gb unapewa 200kb/sec... japo nakiri kwa kung'ata barabara bmw ni ny*k*.
 
Mnyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…