Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Usiku mmoja wa baridi kali April 28, 1988 saa1 usiku, kwenye hotel ya Hesperia, mitaa ya Carrer dels Vergos, Jijini Barcelona nchini Hispania, wachezaji 21 wa klabu hiyo wakiongozwa na kocha Luis Aragones waliweka mgomo kutokana na matendo ya Rais wa Barca, bwana Josep Lluis Nunez.
Ujio wa mwamba wa Uholanzi Johann Cruyff, mnamo Mei 4, 1988 wakiamini kuwa atakuja kufanya mapinduzi makubwa kwenye soka lao.
Siku ya kwanza darasani, Cruyff aliwachorea wachezaji mfumo wa 3-4-3 alioubadili kutoka 4-3-3, wachezaji walishangaa akiwemo Eusebio, dunia hii ya 4-4-2 na 3-5-2 unaleta mfumo mwingine? Waliwaza sana wachezaji wake.
Akili ya Cruyff ilikuwa ni kubadili alichofundishwa na Mwalimu wake Rinus Michels miaka ya 1970 ili kuleta kitu kipya, kumbuka aliuza wachezaji 15 aliowakuta na kuleta wachezaji watakaofit mfumo wake.
Cruyff alimleta winger Txiki Begiristain, Jose Mari Bakero 'Attacking Midfielder', Julio Salinas 'Centre Forward' na Eusebio 'Defensive Midfielder' hawa walikuwa spinal cord ya soka lake, ikumbuke alimbakiza Alexanko ambaye ndie Nahodha na umri wake wa miaka 32.
Wakati anaanza kuisuka Barca mpya kupata ile style ya Barcelonismo aliwahi kumfokea Rais Nunes kutokana na tabia ya kumuingilia kwenye mambo yake, alimwambia ukitaka kuongea na mimi nitakuja ofisini kwako, ila hupaswi kuja dressing room kwangu, mimi ndio Boss hapa[emoji2]
Wakati falsafa mpya inatengenezwa Cruyff aliagiza La Masia yote watumie mfumo wa 3-4-3 kuanzia U8, wakati anaisuka Barca mpya alikuwa na kikosi cha wachezaji vijana, wembamba na wafupi ila yeye ndio aliwahitaji zaidi.
Tuendelee, wakati wachezaji wapo Darasani wakamuuliza, Kocha hapo tunajilinda vipi na mabeki watatu?
Cruyff alijibu kirahisi tu[emoji2] mnataka mabeki wanne wakabe maforwad wawili, mnasahau kuwa tutabaki 6 kwenye kiungo wao wakiwa 8, hapo ni kazi kushinda, "Ukiruhusu kupoteza kiungo umeruhusu kupoteza mchezo"
Wakati Cruyff anasuka trademark akagundua kuwa mfumo wake unahitaji Tactical Artists, mafundi haswa wa mpira, wale football decoraters, asubuhi moja kwenye viunga vya Camp Nou akaja na wazo
Itaendelea
Ujio wa mwamba wa Uholanzi Johann Cruyff, mnamo Mei 4, 1988 wakiamini kuwa atakuja kufanya mapinduzi makubwa kwenye soka lao.
Siku ya kwanza darasani, Cruyff aliwachorea wachezaji mfumo wa 3-4-3 alioubadili kutoka 4-3-3, wachezaji walishangaa akiwemo Eusebio, dunia hii ya 4-4-2 na 3-5-2 unaleta mfumo mwingine? Waliwaza sana wachezaji wake.
Akili ya Cruyff ilikuwa ni kubadili alichofundishwa na Mwalimu wake Rinus Michels miaka ya 1970 ili kuleta kitu kipya, kumbuka aliuza wachezaji 15 aliowakuta na kuleta wachezaji watakaofit mfumo wake.
Cruyff alimleta winger Txiki Begiristain, Jose Mari Bakero 'Attacking Midfielder', Julio Salinas 'Centre Forward' na Eusebio 'Defensive Midfielder' hawa walikuwa spinal cord ya soka lake, ikumbuke alimbakiza Alexanko ambaye ndie Nahodha na umri wake wa miaka 32.
Wakati anaanza kuisuka Barca mpya kupata ile style ya Barcelonismo aliwahi kumfokea Rais Nunes kutokana na tabia ya kumuingilia kwenye mambo yake, alimwambia ukitaka kuongea na mimi nitakuja ofisini kwako, ila hupaswi kuja dressing room kwangu, mimi ndio Boss hapa[emoji2]
Wakati falsafa mpya inatengenezwa Cruyff aliagiza La Masia yote watumie mfumo wa 3-4-3 kuanzia U8, wakati anaisuka Barca mpya alikuwa na kikosi cha wachezaji vijana, wembamba na wafupi ila yeye ndio aliwahitaji zaidi.
Tuendelee, wakati wachezaji wapo Darasani wakamuuliza, Kocha hapo tunajilinda vipi na mabeki watatu?
Cruyff alijibu kirahisi tu[emoji2] mnataka mabeki wanne wakabe maforwad wawili, mnasahau kuwa tutabaki 6 kwenye kiungo wao wakiwa 8, hapo ni kazi kushinda, "Ukiruhusu kupoteza kiungo umeruhusu kupoteza mchezo"
Wakati Cruyff anasuka trademark akagundua kuwa mfumo wake unahitaji Tactical Artists, mafundi haswa wa mpira, wale football decoraters, asubuhi moja kwenye viunga vya Camp Nou akaja na wazo
Itaendelea