Ni kawaida watoto kati ya wiki moja mpaka nane kulia na kuna sababu tofauti ila mojawapo ni kujaa kwa gas tumboni ambayo huwaletea maumivu. Gripe water for infants inaweza kuwasaidia, ila ni muhimu sana umpeleke Hospitali ili waone tatizo ni nini na asiadiwaje,analiaje (kilio cha kuumwa au njaa, hasira n.k) analia wakati gani na kwa muda gani. Vilevile utashauriwa jinsi ya kunyonyesha (ni breastfeeding au unatumia chupa?)ili asivute upepo kama ni chupa. Vilevile kumfanyia massage tumboni taratibu kunaweza kumsaidia, nurses wengi wanaweza kukushauri vizuri hasa wanaofanya kazi kwenye wodi za watoto wadogo!
Hakikisha anapomaliza
kunyonya anawekwa begani ili acheue,na usimuweke kwa muda mfupi akae
hapo hata dakika kumi atacheua mara nyingi na kupunguza gesi nyingi.Pia
jitahidi kumlaza kwa tumbo, hivi ndivyo nilishauriwa na daktari kwani
hii shida nimeshawahi kuipata,na pia madaktari wa watoto wanatushauri
tusiwape grip water kwani wakati mwingine inaongeza tatizo.
Hakikisha anapomaliza kunyonya anawekwa begani ili acheue,na usimuweke kwa muda mfupi akae hapo hata dakika kumi atacheua mara nyingi na kupunguza gesi nyingi.Pia jitahidi kumlaza kwa tumbo, hivi ndivyo nilishauriwa na daktari kwani hii shida nimeshawahi kuipata,na pia madaktari wa watoto wanatushauri tusiwape grip water kwani wakati mwingine inaongeza tatizo.
hata mi njia hii ilisaidia sana mtoto akishacheu maumivu ya tumbo hupungua,ila mimi badala ya gripe water nilishauriwa nimtafutie Beladona ambayo ilisaidia sana kama vipi hebu itafute ujaribu.Pole sana mkuu najua hapo hamlali usiku dogo akianza kulia