IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
Salaam wakuu..
Mtoto wangu ana week 3 sasa,week ya pili sasa analia huku akirusha miguu na mikono kwa uchungu as if tumbo linamkata.Wazoefu wanasema eti akimaliza mwezi ataacha kujinyonga kwani ni kawaida kwa watoto wadogo..na hata nikimpeleka hospital hakuna dawa atakayopewa huko.
My take;Ni kweli ni kawaida na ataacha baada ya mwezi mmoja kuisha ama nimpeleke hospital.
Nawasilisha kwa msaada wakuu
Mtoto wangu ana week 3 sasa,week ya pili sasa analia huku akirusha miguu na mikono kwa uchungu as if tumbo linamkata.Wazoefu wanasema eti akimaliza mwezi ataacha kujinyonga kwani ni kawaida kwa watoto wadogo..na hata nikimpeleka hospital hakuna dawa atakayopewa huko.
My take;Ni kweli ni kawaida na ataacha baada ya mwezi mmoja kuisha ama nimpeleke hospital.
Nawasilisha kwa msaada wakuu