kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,192
- 5,685
- Thread starter
-
- #21
Tatizo hamuelewi mnachodeal nacho. Usdterra haiko backed up na real dollar na hio ndo point yangu af ikatumiwa na dev wa Luna kupeg. Mbona doge imepoteza thaman pia lkn wadau wanaiamini bado, etherium, etc... zimepoteza value lkn structure zao inaziruhusu kurecover, kwa nn iwe Luna ndo ipigiwe kelele hadi ifikie founder wake kuvamiwa kwake na investors? Kama hujaelewa hadi hapo basi nmepoteza mda wangu kukuquote na kureply. Hio sio negativity mkuu.Lakini hizi Crypto zikifanya vyema huwezi kuona mtu anakuja hapa kusema kitu , wacha zifanye vibaya Basi utaona kila sekunde wanafungua thread za kuponda watu. Tuache hizi NEGATIVITY hazitusaidii lolote
BTC ni janga hahaha, niliwekeza huko naliaaaHello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.
Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.
Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.
Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).
Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.
Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).
So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.
Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.
Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).
Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.
Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.
So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.
Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.
Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri
~Peace
Kali Linux
Yule Jamaa yetu wa kule Twitter nadhani ni mmoja wa wale wanaolipwa vile vidorali kutangaza Coin za MagumashHello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.
Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.
Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.
Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).
Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.
Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).
So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.
Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.
Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).
Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.
Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.
So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.
Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.
Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri
~Peace
Kali Linux
Hii ni bure mkuu. Haina hasara ya pesa labda ya muda kama dk 2 hivi kwa siku.Zingatia kichwa cha uzi
View attachment 2224970
Naona umeandika as if kila aliye nunua hiyo coin hakua mtaalam! Je Kuna watu kutoka kampuni ya blackrock walinunua hii je nao sio investors wataalamu?Hello bosses kwanza kabisa naomba mods msiedit heading ya huu uzi.
Kumekuwa na wimbi la watu kutoheshimu professions za wengine na hili linabackfire mdg mdg.
Watu wengi siku hz wanadhan kila mtu anaweza kuwa investor wakiongozwa na kaka yao fln kule twitter lkn niwaambieni tu hio ni profession kama profession nyingine na inabidi uisomee ili usijeukakutana na majanga yalowapata wale investors wa hii Luna coin.
Kwanza ntaelezea kwa nn watu walidanganya na wakadanganyika. Kwenye crypto hizi coins bei yake inabadilikabadilika sana so wengi huogopa kuinvest. Sasa akatokea jamaa mmoja anajiita somebody 'Kwon' raia wa korea na muhitimu wa Stanford akabuni coin moja ambayo ilikua pegged kwenye 'stable coin' fln inaitwa UST (Terra USD).
Subiri, najua unaweza kujiuliza stable coin ni nn. Stable coin ni coin ambayo iko in sync na asset au currency ambayo haibadiliki sana value yake (less volatile asset/currency) hivyo kufanya hio coin kuwa stable. Stable coin nyingi zinakua pegged kwenye usd kwa mfano (hadi wiki ilopita) 1UST ilikua ni sawa na 1 USD ($ dollar). So hio inamaanisha value ya hio TerraUSD ni inakua sawa na value ya Dollar. Mfano mwngine wa stable coin maarufu ni Tether (USDT) hii ipo kwenye blockchain ya etherium.
Sasa huyu Kwon akatengeneza coin hii inaitwa Luna ambayo sio stable coin lkn akaipeg na Stable coin hio ya TerraUSD (UST).
So watu wengi wanaojiita investor wa crypto wakaona Luna Coin ni deal coz iko pegged kwenye stable coin(bila kujua how hio UST inavyopata stability yake). So wakanunua na coin ilifika mbali sana last week value ya coin moja ya luna ilikua ni $85.
Kumbe haya mambo yanahitaji utaalam na investors wakurupukaji hawakujua hilo.
Iko hv, nmesema stable coin zinakua pegged na less-volatile assets, so wengi hutumia USD DOLLAR. Mfano value ya USDT inachezea kwenye 1 dollar, na value ya UST (TerraUsd) ilikua inachezea humohumo. Tofauti ni kwamba USDT inatumia Real Dollar Reserve, lkn hii UST inatumia virtual au tuuite 'Algorithmic dollar'. Yaan huyu Kwon alitengeneza mechanism fln kwenye program yake ambayo inatumia bitcoin reserve ili kumantain value ya UST (stable coin anayotumia kubackup Luna).
Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna inategemea Bitcoin.
Lakini wale wanaojidai kujua kila kitu waliposikia Luna iko pegged kwenye stablecoin UST moja kwa moja waka-buy.
So kilichotokea ni kwamba kama ulikua na Luna 1000 last week ungeweza nunua Range mpya ya 2021 na ukabakiza chenji ya kutosha tu ila kama bado unazo leo hii basi hazina tofauti na trash coz hata IST used choka mbaya kutoka japan haupati.
Note::Kuna wanaojipa moyo kuwa Luna itaregain value yake lkn ni kitu ambacho haiwezekani coz madudu yake yashawekwa wazi na issue ya kutumia virtual dollar imewakatisha tamaa sana waloamini Luna coin. Na isitoshe hapa nnavyoongea huyo Kwon 'Aloanzisha Luna' alikua anaomba msaada polisi coz watu walivamia nyumba yake juzi na jana wakimshutumu kuwadanganya khs coin alotengeneza.
Ukipewa ushauri khs kuinvest na mtu fln kuwa makini sana coz kasoma summary ya kitabu thn akatengeneza summary yake ndo akatumia hio summary yake kukyshauri
~Peace
Kali Linux
Wewe ni mtaalamu wa investment?Haina potential ya kuraise tena.
Rudia tena kusoma uzi wangu.Naona umeandika as if kila aliye nunua hiyo coin hakua mtaalam! Je Kuna watu kutoka kampuni ya blackrock walinunua hii je nao sio investors wataalamu?
Sasa kwa wachache walolifahamu hilo walijua kwamba aidha wasiinvest kwenye Luna coz stablecoin yake UST haitumii real Dollar kama zilivyo Tether (USDT) na stable coin nyngne Au watumie strategy kwamba bitcoin ikianza kushuka kwa kasi basi ni muda kwa kuuza Luna coz behind the scenes Luna
Una uhakika gani mkuu au unabahatisha
Wewe ni mtaalamu wa investment?
Asante mkuu na nakubali kwa logic ulotumia mie kweli ni mnafiki.Kwanini hukusema mwanzo umekuja baada ya coins kushuka thamani...
We ni mnafki
Ila kwa logic hiohio ulotumia kuniita mie mnafiki basi na wewe ni mnafiki squared coz hukuniuliza hili swali kabla haya hayajatokea.Haya tuambie coins nyingine ambayo si nzuri
Hamna haja ya kujua kama mm ni mtaalamu au la coz hio haina umuhimu na haitawahusu maisha yenu yote.
Hayo ni mawazo yangu na sio Financial advise kwenu, mentality kama hzo ndo za wale mnao-buy au sell kisa mtu fln kasema coz mnayumbishwa na mawazo ya watu badala ya kuangalia reality inasemaje.
Narudia tena haya ni mawazo yangu na sio financial advice
Kwanini hukusema mwanzo umekuja baada ya coins kushuka thamani...
We ni mnafki
Haya tuambie coins nyingine ambayo si nzuri
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Unataka kusema comment yako iloleta haya haikuwa kijembe?Dahh wabongo tuna shida sana . sasa mkuu badala ya kujibu swali unatoa vijembeš
Ni vigumu kubashiri moja kwa moja kwa usahihi. Lakini kwa kuwa total supply itakuwa ndogo inaweza kutengeneza demand kubwa na hivyo ikauzwa pesa nzuri.Mkuu unadhani hii Coin hadi mwakani itakuwa na thamani kiasi gani?
Poa mkuu maana nafanya ile mining yao tangu waanze jadi sasa ninazo kadhaa, nakomaa nao hadi JulyNi vigumu kubashiri moja kwa moja kwa usahihi. Lakini kwa kuwa total supply itakuwa ndogo inaweza kutengeneza demand kubwa na hivyo ikauzwa pesa nzuri.