Mwamba 777
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 2,055
- 3,535
madogo gani ONTARIO?Kikubwa na cha muhimu ni kufanya utafiti kabla ya kuingiza pesa yako sehemu yoyote lakini kwa Tanzania naona watu wengi kazi yao ni kupinga pesa yoyote inayopatikana kwa internet either ni Forex iwe Crypto lakini kuna madogo wapo wanakula zao pesa kwa mtindo huuhuu Anyway kikubwa kila mtu awekeze pesa ake mahali anapenda
Rudi darasani bwana!!!...."unasema dasarani"Hapo kwenye fiat money umenichanganya, maana kuna malori fulani ya kizamani yanaitwa fiat.....labda kama unamaanisha 'flat'
Hizo hata wewe unaweza tengeneza kama unajua programming halafu unaanza kuipromo huku na kuleHongera sana ila hizo currency walau angetokea mtu aka narrate kuwa zinafanyaje kazi na unanunua wapi na vipi na unapataje faida!
Kinyume na hapo ni biashara ya kuuziana sungura tu!
Atakuwa kauza kwa decimal valueKwahio bitcoin ziko kwenye vipande vingi au maana umesema umenunua btc 11M kisha ukauza 30M zinakuwa kwa wingi?
Mtoa mada yupo sahihi,Hapo ndipo unapokuja utata
Kama yuko sahihi sawa, siyo eneo langu hilo....Rudi darasani bwana!!!...."unasema dasarani"
Smart brain make Fast Entry to Trend and Exit Fast before downfallWho is going to buy when they are priced high ?
Hapana.Mtoa mada yupo sahihi,
Kama una hela haina kazi unaweza ukanunua coin kadhaa kama tu means ya kuhifadhi hela.
Ila kama una mtaji eti uache kufanya biashara unawezekeza kwenye coin? Hapana unaweza ukalia.
Hio bitcoin yenyewe inashuka tu sasa hivi. Kuna kipindi ilifika zaidi ya milioni 150 sasa hivi ni kama 110M ina maana kama uliweka bilioni 15 zako sasa hivi una Bilioni 11.
Ndo kubeti kwenyewe. Kuna factors nyingi sana around Crypto.Hapana.
Inategemea alinunua Ikiwa na value gani. Usi-generalize hii Issue kwani mambo hayaendi hivyo.
Nakumbukaga unadai una 110 Million shiba You are rich dude.Pumba tupu.
Umeeleza mule mule ni cryptos zinanipa faida ila zile zinaendeshwa kipropagand mfano hao matajiri wakubwa kuzipa promo kusapot coins mpya vijana wanajaa tuCryptos na NFTs zinaendeshwa kwa kwa mfumo wa PROMO na FOMO.
Yaani inatengenezwa HYPE kubwa kuhusu Cryptos na NFTs na hivyo watu wengi wakitaka kununua inapanda thamani.
Akitokea mtu mwenye ushawishi akiziponda ZINAPOROMOKA tena.
Yaani hata wewe unaweza kutengeneza Coin yako na ukaanza kuipush.
Na kibaya zaidi wamasema ni Coin lakini wakiziuza wanataka kupewa pesa za kawaida, sasa umajiuliza hizi ni Currency au bidhaa?
hahahahahahaFreelancers and online traders have got Money everywhere exxept in their POCKETS
Ni kweli kabisa umenikumbusha kisa cha TMT kumejaa utapeli mwingi sanaTatizo hizo pesa zenu za mitandaoni ni kama ghost money! Yani pesa ambayo haishikiki haiko tangible!
Halafu to make shit worse hio pesa imehusishwa sana na cases za utapeli wa baina ya wauzaji na traders!
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwahio ukiuza hio coin unatakiwa ukanunue upya kwa bei juu sasa?
Hela huwaga hazina matangazo, ukiona matangazo mengi ujue kuna watu wanaenda kuliwa vichwa.kuna mtu atapigwa na kitu kizito chenye ncha kali sasa hivi
We jamaa umenichekesha sana,na mimi niliwaza hivyo..Hapo kwenye fiat money umenichanganya, maana kuna malori fulani ya kizamani yanaitwa fiat.....labda kama unamaanisha 'flat'
Hahahahah kawaida wabongo hatunaga utamaduni wa kuitana kwenye pesaHela huwaga hazina matangazo, ukiona matangazo mengi ujue kuna watu wanaenda kuliwa vichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela huwaga hazina matangazo, ukiona matangazo mengi ujue kuna watu wanaenda kuliwa vichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Compare na price ya leo $0.000038/shiba ni kama $4180. Sio ela mingi ya kuitwa/kujiita tajiri.Nakumbukaga unadai una 110 Million shiba You are rich dude.
Sio utapeli ni utapeli wa kimataifa."Hufanyi wala hujui chochote kuhusu forex" alafu unasema ni utapeli?