Mkuu aliyeandika hiyo nadharia ni pastor tena ana PhD ya theologia na mhubiri aliyeheshimika sana tu enzi za uhai hivyo sidhani kama hafahamu haya unayosema humu.Jamani mambo ya Mungu hayachunguzwi kwa akili hizi za kibinadamu. Lazima uende umuombe Mwenyezi Mungu akupe neema ya kukufunulia atakayo. Haya tunayo ya jua kwa kujidanganya eti ni sayansi ndiyo huyu Mungu aliye tufanya tuyajue kwa kutupa ubongo/akili. Hii sayansi ambayo tunaitumia kujaribu kuhoji na kumkosoa ni Mungu aliyetupa huo uwezo tuwenao na kama asingetaka wala tusingekuwa nao. Kumbuka kilichotokea katika ule mnara babeli.
Tujue tu kuwa Mungu ndiye muweza wa yote na ndiye muwezeshaji wa yote. Haiwezekani eti sayansi tena inayotegemea akili za mwadamu aliye umbwa na Mungu ishinde uwezo wa Mungu au itumike kutilia mashaka uumbaji wa Mungu.
Mimi na omba nikuambie kitu, Biblia au Maneno ya Mungu Matakatifu imeongelea yale Mungu aliyo taka tuyasikie kwa utashi wake yeye basi.
Ni kuulize kwenye Biblia unaweza kuniambia maji au kiza viliumbwa vipi? Hata kwa hiyo sayansi ambayo mnaitumia kumtilia mashaka Mungu inaweza kutuambia giza liliumbwa vipi na vilivyo liumba hilo giza vilitokana na nini?
Wanasayansi wakiwa wamefika ukomo wa uwezo wao watakuambia utafiti unaendelea hakuambii tumeshindwa. Unaendelea mpaka lini mpaka hapo ufumbuzi utakapo patikana. Hizo nguvu za ufumbuzi mnazozisubiria zipatikane mnategemea kuzitoa wapi? Ataambulia blabla tu za akili za mwanadamu tena aliye jawa na kiburi cha uzima. Hivu kwa nini wanadamu wanaojidai kugundua mambo kibao wanalizwqje na kifo. Uchungu wa kifo umemshinda vipi mwanadamu? Hata baada ya Mungu kumjalia kuona na kufika sayari mbali?
Mungu ana yeye YUKO AMBAYE YUKO. Hana Asili/Mwanzo wla Mwisho/Hatima.
Mkuu aliyeandika hiyo nadharia ni pastor tena ana PhD ya theologia na mhubiri aliyeheshimika sana tu enzi za uhai hivyo sidhani kama hafahamu haya unayosema humu.
Kingine hapo mwisho nimeweka swali kwamba hayo maji yaliyo JUU ya anga ni yapi maana ya CHINI ya anga tumeyaona.... Na nimeleta hii mada ili nijifunze zaidi kuhusu uumbaji, hivyo ningeomba ufafanuzi hapo mkuu
Nimeomba unisaidie kutafsiri Mwanzo 1 sura ya 6 na 7....Ni some vizuri huyo padre kajiumba mwenyewe ? Je una amini ana uwezo kumzidi Mungu? Au wewe huamini katika Mungu?
Swali lipi uliloliuliza labda ni melimiss?
Nimeomba unisaidie kutafsiri Mwanzo 1 sura ya 6 na 7....
Mkuu sijaona kwenye hiyo mistari kuna MAJI JUU YA ANGA..... Mvua sijakataa ilikuwepo ila ni baada ya gharika maana hakukuwa na mvua wala mawingu kabla ya gharika na hiyo ni kwa mujibu wa bibliaKwa nini hukubaliani na ukweli kuwa maji ya angani/mbinguni ndiyo hiyo hiyo mvua ama husababisha mvua?
Soma mwanzo 7:4, 11 na 12 na mwanzo 8:1-2. Utakuja kuona kuwa maji ya mbinguni na mvua ni majina yaliyotumika kwa kubadilishana ya kimaanisha kitu kimoja.
jamaa ni chenga sanausipokuwa na moyo mgumu unaweza ishia tukanana na watu bure..
😀 😀 😀
mada imewekwa mezani ili watu wapate kuchangia ila mtu anatoka from no where anakuclash vibaya..
ujue nacheka tu hapa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa uzi jaribu kuwa katikati ktk hili ili wengi tupate mawazo ya wengine... Usilazimishe kujibiwa habari za maji ya angani as if kuna aliyeandika biblia, bali kama kuna watu walichunguza na kugundua ndio yaliyotumika kwenye gharika na wewe ukawaamini basi amini hivyo.
Mkuu hawa ndiyo huishia kumeza tu theory za kwenye vitabu ili afaulu tu mtihani na matokeo yake ndiyo haya tunayaona anaona watu wanao hoji wanajichosha tuHakuna ukosefu wa maarifa mkubwa duniani kama kusema hili jambo limesumuliwa tu si la kisansi hivo halifai, lakini mtu huyo huyo anaamini bing bang theory, continental drift, Darwin theory nk ambavyo vyote ni mawazo tu ya watu wengine, kama sayansi inaweza kuprove kila kitu hebu nisaidie kuprove uwepo wa NATURE ambayo sayansi inaamini kuwa ipo
Mkuu inaweza kuwa ni sahihi maana ukisoma kitabu cha Petro kinaelezea kwamba miaka elfu moja kwa Mungu sawa na siku mojaNiliwahi kusikia(kusoma) toka kwa bwana mmoja kuwa baada ya dunia kupigwa na Asteroid miaka zaidi ya 65, 000,000 iliyopita athari zilizojitokeza baadaye ni pamoja na kuuwawa kwa viumbe wengi (mass extinction), matetemeko makubwa ya ardhi, kuongezeka kwa joto la dunia, kutanda kwa wingu kubwa la gesi ambalo lilifunika dunia yote na hivyo kuifanya ipoe sana kwa kuwa hata mwanga wa jua ulizuiwa kwa kiasi kiasi kikubwa na kwa muda mrefu kufika duniani.
Inawezekana kupoa huku kulipelekea the so called “ICE AGE” na baadaye kufuatiwa na mvua kubwa kunyesha kutokana na lile wingu kubwa lililokuwa limedanda juu ya duia. Hapa linazungumziwa wingu lililosababishwa na asteroid impact, wingu lililoweza kuzuia mwanga wa jua kuifikia dunia kwa muda mrefu mpaka kusababisha Ice age na baadaya the so called “GHARIKA”.
Theory hii pia naiona una mashiko yake japo sina hakika wa uwiano uliopo kwati ya muda wa kwenye biblia unaokadiria umri wa dunia kuwa miaka 6000 na ule wa kisayansi unaokadiria kuwa miaka 4.543 Bilioni.
Asante.
Mkuu tukienda kibiblia ni kwamba hayo maji yaliumbwa na Mungu.... Na vyote vilivyoumbwa kwenye hizo siku 6 mpaka leo vipo ndio maana sijauliza ila kuhusu MAJI JUU YA ANGA ndio nikakwama kwamba yalikuwa maji gani ?? Wala hakuna mahali nimelazimisha kuwa hii theory ni ya kweli au lah bali nimeuliza kama si ya kweli je HAYO MAJI ni yapi nikiamini humu kuna wasoma maandiko wengi tu wanaweza kunisaidia so kama unafahamu unaweza tusaidia na jibu piaMtoa uzi jaribu kuwa katikati ktk hili ili wengi tupate mawazo ya wengine... Usilazimishe kujibiwa habari za maji ya angani as if kuna aliyeandika biblia, bali kama kuna watu walichunguza na kugundua ndio yaliyotumika kwenye gharika na wewe ukawaamini basi amini hivyo.
Ila hata hayo maji Biblia inatuambia yalikuwepo kabla ya uumbaji wa dunia na vilivyomo sasa tukikuuliza hayo maji yalitoka wapi mpaka yakatengwa juu na chini utapata majibu?
Kama wote hatujui yalipotokea basi tuheshim mawazo na maono ya wengine other wise ungeishia kuamini hyo theory bila kuleta uzi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaposema haya maji ya juu kwamba ni mawingu naomba usome hii mistari.Zitto junior
Je hivi sasa hayo maji ya angani yapo? Jibu ni yapo, ndio maana tunapata mvua.
Unasema mawingu hayakuwepo lakini hapo hapo umetoa aya inayotaja ukungu, hivi hujui kuwa ukungu na mawingi ni kitu kimoja sema tafauti, ni kuwa kwenye anga yanaitwa mawingu na kwenye uso wa ardhi ni ukungu, kwa hiyo tunapata mvua kwa sababu ya maji ya angani, maana nyingine ya neno mawingu ni maji ya angani, ndio maana sometimes tunapataga hata mvua ya barafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unakubaliana na hoja kwamba mawingu au ukungu ni maji anga, na uwazi uliopo kati maji ya juu na chini anga au mbimgu, sasa ugumu unakuja wapi sasa. Maana mawingu ndio yanaleta mvua, we we unayatafuta maji ya angani yapi hayo zaidi ya haya.Mkuu unaposema haya maji ya juu kwamba ni mawingu naomba usome hii mistari.
Mwanzo 1:6-8
[6]Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji.
[7]Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo.
[8]Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili.
Hapo alitenga maji kwa kutumia anga na hilo anga ndio mbingu sasa, unavyosema mawingu ndo hayo maji ya juu sidhani kama ni sahihi. Hii ina maana kwenye mbingu juu yake kuna maji.
sent using samsung galaxy s8
kila mtu anahaki na uhuru wakutoa maoni yake wa na Jamie forum mapovu ya nini?we ulitaka niandike nini mkuu?? jamii forum sio yakwako ukitaka hivo tengeneza mtandao wako basi
Mkuu labda nimekuelewa ila biblia imetofautisha kati ya MAWINGU na haya maji JUU YA ANGA......Zitto junior
Je hivi sasa hayo maji ya angani yapo? Jibu ni yapo, ndio maana tunapata mvua.
Unasema mawingu hayakuwepo lakini hapo hapo umetoa aya inayotaja ukungu, hivi hujui kuwa ukungu na mawingi ni kitu kimoja sema tafauti, ni kuwa kwenye anga yanaitwa mawingu na kwenye uso wa ardhi ni ukungu, kwa hiyo tunapata mvua kwa sababu ya maji ya angani, maana nyingine ya neno mawingu ni maji ya angani, ndio maana sometimes tunapataga hata mvua ya barafu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla hatujafika mbali, naomba niukuulize.Kama unakubaliana na hoja kwamba mawingu au ukungu ni maji anga, na uwazi uliopo kati maji ya juu na chini anga au mbimgu, sasa ugumu unakuja wapi sasa. Maana mawingu ndio yanaleta mvua, we we unayatafuta maji ya angani yapi hayo zaidi ya haya.
Kama mawingu yangekuwa siyo chanzo cha mvua ningeilewa hoja yapo, maana hata wanasayansi wanaprove mvua inatokana na mawingi, ingekuwa siyo hata mimi ningeyatafuta hayo, japo zamani wakati nipo mdogo nilijua mawingu ni moshi ulioganda, au mkuu ulitaka juu nako kuonakane kama bahari au ziwa, alichofanya mungu aliyabadilisha yakawa mvuke ila yakirudi chini yanakuwa yakawaida maana alijua2 watu kama nyie mngekuja kuyatafuta maji ya angani.
Ni kama binadamu tumeumbwa kwa udongo lakini sisi hatupo kama sanamu la udongo, ila prove inakuja pale utakapokufa unarudi unakuwa udongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anga ni uwazi uliopo toka kwenye uso wa dunia kwenda juu, nazani mtoa mada kaeleza vizuri tu,ambayo inatemganisha maji ya chini na juu.Kabla hatujafika mbali, naomba niukuulize.
Mbingu au jina jengine anga lipo sehem gani?
sent using samsung galaxy s8