Csee 2012

Csee 2012

Yusuph p. Kisunzu

Senior Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
120
Reaction score
9
SAMAHANI WADAU MATOKEO YAKITOKA BASI ATAKAYE WAHI TUFAHAMISHANE KAMA YAMETOKA ILI NIFANYE MCHAKATO WA KUYAFAHAMU. Maana Wengine tuko INTERIOR. Ni kwa namba hii 0763631449
 
SAMAHANI WADAU MATOKEO YAKITOKA BASI ATAKAYE WAHI TUFAHAMISHANE KAMA YAMETOKA ILI NIFANYE MCHAKATO WA KUYAFAHAMU. Maana Wengine tuko INTERIOR. Ni kwa namba hii 0763631449

[h=5]National Examination Council of Tanzania (N.E.C.T.A)

[/h][h=5]Mambo yakienda vizuri kama tulivyopanga, matokeo tutayatoa kesho. Kwa kudokezea ni kwamba wasichana wameng'ara sana kwenye mitihani ya mwaka 2012.
Tuombe Mungu kila kitu kiende kama tulivyopanga.
[/h]

Ujumbe ndo huo
 
Mbona watu waongo wanasema matokeo yashatoka mbona hatuyaoni mwenye link ya kuyapata atujulishe
 
Inasemekana matokeo wanamalizia kuyaingiza kwenye mtandao,kwa hyo anytime kuanzia sasa yanaweza kuwekwa hewan kwa hyo msichoke kuchungulia National examination council of Tanzania(NECTA) MUDA WOTE! Asanten sana
 
Hebu tulieni! Mbona mmekuwa na mchecheto sana! Kama uliboronga!tulizana! Maisha yapo baada ya pepa!
 
website inayotoa taarifa ya matokeo si ya necta ila ni ya mzugaji mmoja mkuda saana anayetaka kuwaweka roho juu watanzania ila ukweli ni kwamba matokeo yatakuwa tayari mpaka yatakapokuwa yametangazwa na katibu wake au yeyote mhusika kutoka baraza la mitihani. acheni kusikiliza redio mbao za mitaani.
 
Back
Top Bottom