Wadau scholarship hizo kwa Master na Phd , na east Africa tumo ktk mgao huo wa fungu, ila kwa tanzania, representative ni wizara ya elimu.....ss sijui kama tukiomba ss ambao hatuna wajomba huko wizarani sijui itakuwaje? unaweza ukaenda kuulizia ukaaambiwa kuwa hizo habari hazipo.......
Mwenye Ancle wake wizara ya elimu amuulizie.......! ila mm nitajaribu na wakinimwaga nitawapasua ktk forum, coz nina sifa zote na pia ni first class holder....!
Link hizi hapa wadau
Commonwealth Scholarship and Fellowship Plan for the Academic Year 2011-12 : Scholarships for College Students, PhD Scholarships, International Scholarships 2011 Fellowships Loans
Na nyingine hii
http://www.moed.bm/Documents/Commonwealth Scholarship Plan ad for Other Countries.pdf
Mwenye Ancle wake wizara ya elimu amuulizie.......! ila mm nitajaribu na wakinimwaga nitawapasua ktk forum, coz nina sifa zote na pia ni first class holder....!
Link hizi hapa wadau
Commonwealth Scholarship and Fellowship Plan for the Academic Year 2011-12 : Scholarships for College Students, PhD Scholarships, International Scholarships 2011 Fellowships Loans
Na nyingine hii
http://www.moed.bm/Documents/Commonwealth Scholarship Plan ad for Other Countries.pdf