Jamani Citi scan na MRI ya muimbili lazima itakuwa used na kuu kuu tu, wabongo ni watu wa mitumba, sitaki kuamini serikali ya ****** itoe mamilion kununua mashine nzuri ya afya labda ingekuwa v 8 ningeamini maana ndo matumizi yao..
Also hata ukipigwa MRI bongo kuna dr wa kufanya operation ya kichwa, nchi za watu zinafanywa sana kwa transnosal approach ambayo kichwa akipasuliwi wala nini, na inafanywa kwa mashine yaan DR ye anakaa kwenye mashine anaongoza operations, hiyo niliona Apollo -India, wakadai technologia ndo imeelekea huko, sasa dr aliesoma muimbili amekariri madesa apewe kichwa chako akipasue wakati analalamika mshahara mdogo, lazima akupoteze tu,
So MRI without machine za kisasa za kufanyia head surgery bado ni ujinga tu, ndo maana wakuu hata wakiumwa mafua wanakimbilia India na ulaya as wanajua bongo magumashi