CT scan MRI Muhimbili Buree

Kwa pressha ya wagonjwa Mashine tangu iwe installed inapiga kazi 24/7! No breather!
Weka logic hapo.

Duhhh...if thats true then it will be poor in (accuracy diagnosis) images, kwahiyo kweli kwa logic hapo One Kilo inatosha
 
jamani wana jf tusilaumu kuhusu bei ya ct na mri.....ughaibuni (usa) mri ni $2000 --3500 inategemea na kipimo .cha msingi tu ni serikali kuboresha maisha na kufanya vitu kama bima ya afya iwe kwa kila mtu ,kwa mfano michango ya kila mwezi ya wafanyakazi ni mara elfu moja ya wafanyakazi wanaoumwa.ni sawa na kuchangia kujaza pipa lkn wachache wanachota tunacho jaza hivyo inawezekana kusaidia kila mtu kwa michango ya wafanyakazi.hiyo mashine maintenance yake ni balaa...kuna vitu vinaitwa coils ambavyo vinavyalishwa kwa mgonjwa ni consumable bei yake inafikia usd 35,000 kwa hivyo tusije tukabweteka mwisho wa siku mashine ikafafa tukarudi kule kule ----nenda nairobi au agha khan.Bado kuna vitu kama CRYOGEN (helium gas) nafikiri kujaza ktk hiyo mashine inafikia milion 300 kwa miaka miwili lazima kujaza.uangalizi wa mashine hii ni kama ulinzi wa benk kwani mashine inahitaji temp.65*f----75*f na humidity 50%----70% na bongo yetu ku-maintain hiyo hali ni issue
 
kuna member ameuliza madhara ya ct scan....ct scan ni kama x-ray inatumia mionzi hivyokama ujuavyo mionzi ina madhara kwa viumbe hai kwani kutokana na nguvu iliyo nayo inaweza kubadili asili ya vitu kama cells katika mwili wa binadamu ukipata mionzi mingi uwezekano wa kupata kansa ni mkubwa sana.ndio maana huwa wanashauri wajawazito wasisogee katika source ya mionzi kwani wanaweza wakasababisha watoto walioko tumboni waka-under go mutation---
 
jee ni watanzania wangapi wenye uwezo wa kutoa sh 100 000?

Wote. Kama hana si anatembeza bakuli la mchango. Au sisi ni mahodari wa kutembeza kadi za michango ya harusi na sherehe tu? Kwa wagonjwa hatuna mpango?

Wagonjwa wasiojiweza tuwachangie kwanza kuliko harusi na sherehe.
 
apo...
nipo katika icho kitengo cha msamaha na wanarudi wengi tu kufia home,

bado tuna mwendo mrefu sana ktk huduma za afya Tanzania

Then you are part of the problem, involved actively in the failing system.
Kwa nini usitoe msamaha kwa mtu ambaye genuinely cant raise that amount required? Au unahitaji kulipwa ili utoe msamaha?
Sidhani kama mgonjwa aliyepewa ID/muhuri/etc ya msamaha wa kufanya CT/MRI scan atarudishwa na Technician kwa sababu hajalipa. Kwenye risiti yake itasomeka exemption, na MRI belongs to a Hospital kwa nini arudi kufia nyumbani kwa tatizo linalotibika.
 
Wote. Kama hana si anatembeza bakuli la mchango. Au sisi ni mahodari wa kutembeza kadi za michango ya harusi na sherehe tu? Kwa wagonjwa hatuna mpango?

Wagonjwa wasiojiweza tuwachangie kwanza kuliko harusi na sherehe.

You said it all.
Bahati mbaya mtu huyo akifa, ndugu watakuja kujitolea, mwingine atatoa gari na mafuta kupeleka mwili Nyumbani Biharamulo, mwingine ataweka kreti kadhaa za bia kwa wafiwa/waombolezaji kujiliwaza/ ?pongeza...
Wabongo hatuweki afya mbele.
 

Inaelekea hujafanya kazi ofisi za serikali na au ktk Mahospitali yetu
 
Duhhh...if thats true then it will be poor in (accuracy diagnosis) images, kwahiyo kweli kwa logic hapo One Kilo inatosha
Dont fool yourself, the thing (MRI) is good quality, images perfect, sio kama za Nairobi mnakokimbilia
 
Thank you mkuu.... hap hatujasema gharama za kuleta technicians, maintenance repair and operations hapo hujasema risks za umeme, technicians incompetencies nk

the cost ya MRI can be as high as possible... but it should be made affordable kwa wote kupitia mifuko ya jamii, sera ya kusaidia maskini, charities nk
 

Watanzania hatuangalii hayo bana, siyo jadi yetu. Mkapa ashatuambia tu wavivu kufikiri.
 
Good news to Muhimbili..... for looking at low life tanzanians...
 
Jamani Citi scan na MRI ya muimbili lazima itakuwa used na kuu kuu tu, wabongo ni watu wa mitumba, sitaki kuamini serikali ya ****** itoe mamilion kununua mashine nzuri ya afya labda ingekuwa v 8 ningeamini maana ndo matumizi yao..

Also hata ukipigwa MRI bongo kuna dr wa kufanya operation ya kichwa, nchi za watu zinafanywa sana kwa transnosal approach ambayo kichwa akipasuliwi wala nini, na inafanywa kwa mashine yaan DR ye anakaa kwenye mashine anaongoza operations, hiyo niliona Apollo -India, wakadai technologia ndo imeelekea huko, sasa dr aliesoma muimbili amekariri madesa apewe kichwa chako akipasue wakati analalamika mshahara mdogo, lazima akupoteze tu,

So MRI without machine za kisasa za kufanyia head surgery bado ni ujinga tu, ndo maana wakuu hata wakiumwa mafua wanakimbilia India na ulaya as wanajua bongo magumashi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…