Cuba wakubali yaishe, warudi kwenye Dola za Kimarekani

Cuba wakubali yaishe, warudi kwenye Dola za Kimarekani

wenye Dola yao. USA wenyewe hata hawahangaiki na hizo futuhi. wanajua ni ngoma za watoto. hazikeshi. wao wanajua tukigusa apa tukigusa pale. shughuli kwisha.


unataka kuiangusha dola wakati. 70% ya uchumi wako ni uwekezaji wa makampuni toka nje.

wakisema waondoe 10% ya makampuni yao. basi kwisha abari yako.

PuTin alitaka kuweka ptro Rubble ikamshinda.
ikabidi na yeye ahangaike kuibust Yuan. lakin wapi.

ukweli Mchungu.
USA ndio taifa pekee linalo weza kuchagua nani awe tajiri na nani awe kapuku na awe kapuku kwa mda gani.
venezuela wanamjua vizur sana.
 
kenya mwaka jana waliwekewa vikwazo kwenye ARV tu. wakaambiwa wenye ukimwi tumieni mitishamba. Fukuto lilikua sio poa. had ikabidi shirika la afya Dunian liingilie kati.

Dunia inahitaji Dollar kuliko Dolla inavyo ihitaji Dunia.
ni USA ndie alie amua EURO [emoji387] imsaidie majukumu ni Usa atakae amua kama yuan au rubble ipate kazi ya kufanya Dunian au lah.

kwa sasa msubiri tu.
 
Back
Top Bottom