Tetesi: CUF Bara kugomea mkutano wa Tanga

Tetesi: CUF Bara kugomea mkutano wa Tanga

Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Tamma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
Hatuna kitu kama CUF bara.! CUF yetu ni moja tu.! Huyo profesa msaliti lazima atang'oka tu hata atumikeje!
 
Lipumba hadi leo anaendelea kulipwa mshahara waķe wa mwenyekiti wa CUF. Haujawahi kùsitishwa. Mtatiro naye anaeñdelea kulipwa mshahara waké wa cheo chake cha zamani na sìyo cha mwenýekiti.

Muache kutuchanganya. Tusubiri hukumu za mahakama maana suala taýari liko mahakamani.
 
Maalim Seif ndio CUF na CUF ndio Maalim Seif. Huyo Profesa wenu mpelekeni Lumumba akamwagilie maua. Hana nafasi tena kwenye CUF.
Sasa kaoana na sakaya wanafanyia mapenzi ofisini buguruni pro-pesa njaa imemfanya achepuke na mke wa mtu bila kinga
 
Sema CUF Lipumba na siyo CUF Bara ambapo wengi hawaungi mkono ujinga wa PROPESA. Kwani huko Tanga kulikoitishwa kikao tangu lini kumekuwa visiwani!?
Pro-pesa a.k.a profeselii wa olijino comedy sasa linawinda luzuku wagawane na Msajili na Madalali wa siasa waliofanikisha Dili lote
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hizi ni habar za uhakika na sababu yake ni kuwa haujaitishwa na mwenyekiti halali wa chama ambaye ni Prof. Ibrahim Lipumba. Aidha wameenda mbali zaidi na kutaka polisi izuwiye mkutano huu.

Tangazo lenyewe la mkutano huo hili hapa;

The Civic United Front-CUF
Chama cha Wananchi
Wilaya ya Tanga
Taarifa kwa Umma.

Chama cha Wananchi-CUF wilaya ya Tanga, kinawatangazia wanachama wake wote, wapenzi pamoja na mashabiki kuwa kitafanya Mkutano wake Mkuu wa wilaya wa dharura tarehe 29/10/2016.

Agenda:
01.Mgogoro wa Meya Jiji la Tanga.

Mgeni rasmi:
Katibu Mkuu wa Chama Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiambatana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi Mhe. Julius Mtatiro.

-Maandalizi yote yamekamilika.
-Mtafahamishwa utaratibu wa mapokezi ya viongozi wetu hawa wapendwa wa kitaifa.

Taarifa imetolewa na-
Mkuu wa Kitengo cha Habari, Uenezi na Mahusiano ya Umma.
Mhe. Amour Abal-Hassan.
Mkutano wa wilaya unaitishwa na mwenyekiti wa kitaifa?

Acheni mambo ya hovyohovyo
 
Hivi kweli bwana Yule Na watu wake wamechanganyikiwa kweli kweli yaani hata mkutano Wa mkoa Wa chama unataka uitishwe Na wewe alafu sakaya Na kambaya Na lipumba ndio Cuf bara au lipumba huu ndio mwisho wako Wa kisiasa wewe shukuru tu unaisha mwisho Wa fedheha Na kudharauliwa yote haya ni kwa sababu ya usaliti
 
Nikiangalia umri wa hawa watu na mambo wanayoyafanya wala haviendani kabisa!
 
Hivi huyo scorpion mng'oa macho si angemshughulikia huyo prof.wa Buguruni ?
 
Back
Top Bottom