ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
PROFESA LIPUMBA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS: Tokea kuanza kwa mfumo wa vyama vingi wapinzani wamekuwa wakisimamisha wagombea wale wale tu. Hii desturi ya kujaribu jaribu itaisha lini? Hivi huko kwenye vyama vya upinzanii hakuna wengine wenye sifa ya kubadili japo vionjo?
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba akichukua fomu za kugombea nafasi ya Urais kutoka kwa Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Kinondonio, Mh. Kassim Chogamawano katika ofisi za CUF wilaya ya Temeke jijini Dar leo.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahimu Lipumba akichukua fomu za kugombea nafasi ya Urais kutoka kwa Katibu wa Chama hicho Wilaya ya Kinondonio, Mh. Kassim Chogamawano katika ofisi za CUF wilaya ya Temeke jijini Dar leo.