AVRAM
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 616
- 885
Habari zenu waungwana.
Naomba kuulizia kuhusu watia nia wa Chama cha Wananchi CUF. Sijasikia taarifa yoyote kutoka katika vyombo vya habari kuhusu wachukua fomu za Urais, Ubunge, Uwakilishi na Udiwani au mara hii CUF imeamua kuunga mkono juhudi za Chama chengine. Kama ndivyo kwa nini wasitoe taarifa angalau sisi wananchi tukaelewa msimamo wa chama kitaifa.
Nimesikia taarifa nyingi kutoka kwa vya tofauti kuhusu watia nia wao kwa ngazi zote ila sio CUF. ACT, CCM, CHADEMA, CHAUMA, NCCR, TLP na vyenginevyo ila CUF sijapata kuisikia au ni mimi ndio sijasikia taarifa za watia nia wa CUF. Kama kuna taarifa zozote za watia nia kuhusu chama cha wananchi CUF tujuzane waungwana.
Ahsante
Natangukiza Shukran kwa wale waungwana watakao amua kuweka taarifa kuhusu watia nia wa CUF.
Naomba kuulizia kuhusu watia nia wa Chama cha Wananchi CUF. Sijasikia taarifa yoyote kutoka katika vyombo vya habari kuhusu wachukua fomu za Urais, Ubunge, Uwakilishi na Udiwani au mara hii CUF imeamua kuunga mkono juhudi za Chama chengine. Kama ndivyo kwa nini wasitoe taarifa angalau sisi wananchi tukaelewa msimamo wa chama kitaifa.
Nimesikia taarifa nyingi kutoka kwa vya tofauti kuhusu watia nia wao kwa ngazi zote ila sio CUF. ACT, CCM, CHADEMA, CHAUMA, NCCR, TLP na vyenginevyo ila CUF sijapata kuisikia au ni mimi ndio sijasikia taarifa za watia nia wa CUF. Kama kuna taarifa zozote za watia nia kuhusu chama cha wananchi CUF tujuzane waungwana.
Ahsante
Natangukiza Shukran kwa wale waungwana watakao amua kuweka taarifa kuhusu watia nia wa CUF.