Ah Ndugu yangu Bwana. Mkataba gani uliokubaliwa. Kamati ya Muafaka ni kama Kamati ya Wataalmu iliyofanya "spade work" kutayarisha hayo mambo. Wewe unayaita Mkataba , umekubaliwa wapi, umetiwa saini wapi. CUF wamepeleka kikao cha juu -kimekubali, sawa. Huo ni upande wake. CCM nao wamepelka kikao cha juu (Halmshauri), haikukataa, lakini imeona kuna mapendekezo (ya kuboreshwa) inafaa yafanywe. Kosa liko wapi? Kuwa mtulivu, na pitia vizuri hayo mambo uyafahamu, kuliko kuweka mbele kulaumu tu.Kuhusu maoni ya Muungano ni jambojengine hilo subject to discussion wakati unapowadia.