Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

Tetesi: CUF: Lipumba kuwafuta uanachama wabunge wote wa kuchaguliwa majimbo yote ya Bara

Hapa kuna kitu mnajifanya hamkioni...
Kilichopelekea Cuf na Chadema kuvuna viti vingi vya ubunge ktk uchaguzi mkuu uliopita sio nguvu ya Lowasa bali ni Ukawa ambao ni matokeo ya Profesa na Dr. Slaa.
Lowasa ndiye aliyekuja kuharibu uelekeo wa Ukawa.
Ndiye chanzo cha migogoro ndani ya Cuf.
Suala la Cuf kuwa na wabunge wawili bara ikiwa ni dhambi basi dhambi hiyo haiwezi kumuacha salama Maalim Seif kwani ndiye mtendaji mkuu wa dhughuli za chama.
Sawa sawa na mafaniko yaliyopo Chadema huwezi kuyatenganisha na Dr.Slaa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nilipomtaja LOWASA? Hivi kwanini Lowasa anawafanya muweweseke hata wakati wa kujadili vitu vya msingi?
Kwanini LIPUMBA HAKUPATA ZAIDI YA VITI VIWILI BARA KIPINDI CHAKE CHOTE NA ALIZUNGUUKA NCHI NZIMA AKIJINADI NA KUINADI CUF? KWANINI VITI VYA TANGA, MWANZA NA KILWA VILIPOTEA CHINI YAKE WAKATI HUO? hilo ndilo lilikuwa swali langu na aliyempokea EL UKAWA anajulikana ukihitaji ushahidi zaidi tutauweka hapa
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    15.6 KB · Views: 34
Wapi nilipomtaja LOWASA? Hivi kwanini Lowasa anawafanya muweweseke hata wakati wa kujadili vitu vya msingi?
Kwanini LIPUMBA HAKUPATA ZAIDI YA VITI VIWILI BARA KIPINDI CHAKE CHOTE NA ALIZUNGUUKA NCHI NZIMA AKIJINADI NA KUINADI CUF? KWANINI VITI VYA TANGA, MWANZA NA KILWA VILIPOTEA CHINI YAKE WAKATI HUO? hilo ndilo lilikuwa swali langu na aliyempokea EL UKAWA anajulikana ukihitaji ushahidi zaidi tutauweka hapa
Jinsi sakata lilivyo huwezi kumuacha Lowasa kumtaja, yeye ni mwanasiasa na wala sio dhambi kutajwa ktk mambo ya kisiasa, ondoa hofu mkuu sijui kwanini akitajwa huyo mtu mnajawa hofu na kupaniki..

Kumpokea Lowasa ktk ule mkutano aliyetangaza alimtangaza kiitifaki tu, na ndio maana baadaye alijitoa kutokana na nafsi kumsuta, na kwasababu hiyo hiyo Katibu mkuu wa Chadema alijiuzulu siasa, ni ujinga wa mbowe na Maalim uliopelekea leo Chadema inakatibu mkuu asiyejua majukumu yake.. Hahahaaa (natania tu mkuu)

Suala la viti nimeshakujibu, hiyo dhambi haiwezi kuwa ya Lipumba peke yake ukamuacha Seif.
Nikakuambia hayo Mafanikio ya Ukawa yametokana na Uasisi wa Dr. Slaa na Prof. Lipumba kabla mvurugaji hajaja kuvuruga...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jinsi sakata lilivyo huwezi kumuacha Lowasa kumtaja, yeye ni mwanasiasa na wala sio dhambi kutajwa ktk mambo ya kisiasa, ondoa hofu mkuu sijui kwanini akitajwa huyo mtu mnajawa hofu na kupaniki..

Kumpokea Lowasa ktk ule mkutano aliyetangaza alimtangaza kiitifaki tu, na ndio maana baadaye alijitoa kutokana na nafsi kumsuta, na kwasababu hiyo hiyo Katibu mkuu wa Chadema alijiuzulu siasa, ni ujinga wa mbowe na Maalim uliopelekea leo Chadema inakatibu mkuu asiyejua majukumu yake.. Hahahaaa (natania tu mkuu)

Suala la viti nimeshakujibu, hiyo dhambi haiwezi kuwa ya Lipumba peke yake ukamuacha Seif.
Nikakuambia hayo Mafanikio ya Ukawa yametokana na Uasisi wa Dr. Slaa na Prof. Lipumba kabla mvurugaji hajaja kuvuruga...

Sent using Jamii Forums mobile app
Seif alizunguuka Zenji alipata viti vingapi? Ili tutathmini kila mmoja upande aliouzungukia
 
Seif alizunguuka Zenji alipata viti vingapi? Ili tutathmini kila mmoja upande aliouzungukia
Ni utendaji wa taasisi gani huo unaopimwa kulingana na mtu pale anapotokea?
Seif si Katibu wa Zenji peke yake, ni katibu mkuu wa Tanzania, utendaji wake unapaswa kupimwa kulingana na matokeo chanya ya Tanzania sio sehemu moja peke yake...

Chadema imeimarika zaidi kaskazini kuliko kusini, hapo unataka kusema nini kiutendaji? Unataka kumbagua nani umuhusishe nani na mafanikio ya Chadema?

Lau kama Seif alikuwa akifanya kazi kwa kuangalia Zanzibar peke yake basi hilo nalo ni jambo lingine la kukosoa kiutendaji, hafai kuwa kiongozi wa umma mtu anayeangalia kwao pekee...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni utendaji wa taasisi gani huo unaopimwa kulingana na mtu pale anapotokea?
Seif si Katibu wa Zenji peke yake, ni katibu mkuu wa Tanzania, utendaji wake unapaswa kupimwa kulingana na matokeo chanya ya Tanzania sio sehemu moja peke yake...

Chadema imeimarika zaidi kaskazini kuliko kusini, hapo unataka kusema nini kiutendaji? Unataka kumbagua nani umuhusishe nani na mafanikio ya Chadema?

Lau kama Seif alikuwa akifanya kazi kwa kuangalia Zanzibar peke yake basi hilo nalo ni jambo lingine la kukosoa kiutendaji, hafai kuwa kiongozi wa umma mtu anayeangalia kwao pekee...

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee kumbe zile halmashauri nyingi ambazo CDM inaongoza zote ni za kaskazini? Mbeya ni kaskazini pia? Maalim Seif kama katibu alitenda kazi yake, Mwenyekiti akawa anatengua kwa maslahi yake. Viti vya Tanga, Liwale, Mtwara na Mwanza viliuzwa na le profesale na wachumia tumbo wenzake. (nasubiri povu tena hapo!) teh teh teh.
Tanzania kazi tunayo!!!
 
Aisee kumbe zile halmashauri nyingi ambazo CDM inaongoza zote ni za kaskazini? Mbeya ni kaskazini pia? Maalim Seif kama katibu alitenda kazi yake, Mwenyekiti akawa anatengua kwa maslahi yake. Viti vya Tanga, Liwale, Mtwara na Mwanza viliuzwa na le profesale na wachumia tumbo wenzake. (nasubiri povu tena hapo!) teh teh teh.
Tanzania kazi tunayo!!!
Bado nitajaribu kukuelekeza...
Nimesema hivi, Chadema imeimarika zaidi kaskazini..!!
Huo msemo umeuelewa lakini??

Na hapa nakukumbusha, wewe ndiye uliyeleta hoja za viti, nilichofanya ni kukujibu kulingana na hoja zako..!!
Ila ukitulia nadhani utaelewa kwa usahihi mantiki yangu..!!

Sina haja ya kujibu hizo porojo zako za kuuza viti sijui nini, hizo kwangu ni kama sauti za mbwa au paka jalalani.!!
Hazina matiki yoyote ya kujadiliwa na wenye akili timamu. Labda kama utaweka hapa hati za hayo mauziano...

Sehemu uliyobold ni jibu la maneno
yako haya...

Seif alizunguuka Zenji alipata viti vingapi? Ili tutathmini kila mmoja upande aliouzungukia

Sasa sijui katibu mkuu kazi yake iliishia huko huko Zenji peke yake, jibu unalo..!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna taifa la ajabu kama Tanzania. Unawezaje Kuua demokrasia namna hii mchana kweupe?ccm Mungu anawaona. Hii Dhambi mtaibeba hadi Jehanam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maalim Seif kujua anatumikia Chadema ni ngumu Sana, kazingirwa.
Mpango unahakikiwa kiufundi Sana huku akiamini CCM ndo wamabaya wake.
Acha aijenge Visiwani Chadema kwa kupambana na Lipumba.

Lipumba si kama kina James Mapalala, Hamad Rashid. Ni type nyingine kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maalim Seif kujua anatumikia Chadema ni ngumu Sana, kazingirwa.
Mpango unahakikiwa kiufundi Sana huku akiamini CCM ndo wamabaya wake.
Acha aijenge Visiwani Chadema kwa kupambana na Lipumba.

Lipumba si kama kina James Mapalala, Hamad Rashid. Ni type nyingine kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Lipumba kwa nguvu ya 'CCMserikali' atafanikiwa kuiua CUF na kubaki na Magdalena na 'wenzao' katika usaliti. Kitu ambacho watakujagundua hatimae ni kuwa, Wao nao ndo watakuwa wamemalizika kisiasa kama ganda la muwa. CCM haitowahitaji tena kama ilivyowafanyia wengine ilowahi kuwarubuni. Wananchi ndo kabisa hawatakuwa na shughuli nao. Kama ilivyokuwa kwa Mrema na Cheyo, baada ya uchaguzi 2020, Lipumba nae atabaki gamba lisilo na mvuto tena la CUF.
Wahenga walisema: WISE MEN LEARN FROM OTHER PEOPLES' MISTAKES. LAKINI Lipumba na wasaliti wenzie wanaanda kwa kujivunia mazishi yao wenyewe kisiasa. HIVI Uprofesa wote uko wapi? Au ndo kama anavyokejeliwa PROPESA!
 
Siasa sipendi ila Lipumba anavyowafanyia Wapinzani sio sawa alijiondoa ili kudhoofisha upinzani na ameamua kuja kuua kabisa upinzani haswa chama kilichomkaribisha... kama hawataki tena akae tu pembeni kuugua ukimwi sio lazima uambukize na wengine ili mfe wote
Bora hata yule mwenzake aliyekwenda zake kanada kula mihogo ya kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CUF HAITAKUWA IMARA TENA! MISSION IMEKAMILIKA KWA 80+℅

CUF sasa inaishilia, ni kama mpango unakamilika, mpango mkakati umetengenezwa kimkakati zaidi, kuhakikisha CUF haina nguvu tena, ili kuleta unafuu visiwani. Wabunge wa majimbo wakishavuliwa uanachama, majimbo yao yatakuwa wazi, uchaguzi utarudiwa, kama hujui ni mpango,: kumbuka kauli ya juzi ya mkurugenzi wa tume ya uchaguzi, pale aliposema' ikiwa wabunge wa CUF watavuliwa uanachama, tume imejiandaa kwa dharula yoyote na bajeti ipo! Akili kumkichwa' mkurugenzi wa tume anazungumzia uchaguzi mdogo kwenye majimbo ambayo bado yana wabunge! MISSION

Lipumba sasa anatambuliwa na kila taasisi ya sirikali, anatambuliwa na Bunge, anatambuliwa na Msajili, anatambuliwa mpaka na taasisi ya jikoni! MISSION

Kete kwa upande wa CUF Halisi ilikuwa imebaki moja tu (MAHAKAMA) baada ya makosa kufanyika nyuma! Ndiyo makosa yalifanyika mwanzo kabisa kwa upande wa Maalim Seif kumdharau Lipumba na kumuona ni mtu mmoja tu anayetapatapa kisha atatulia, hawakumuona mapema aliyekuwa nyuma ya Lipumba! Hili lilikuwa Kosa kubwa! Wamekuja kushituka na kuiona nguvu yake kipindi ameingilia bodi ya wadhamini ya CUF! Hapo ndo walishituka na kumbe tayari walikuwa wamechelewa! Walipaswa kumshughulikia mapema!
Sasa kete ya mahakamani nayo inaanza kufeli, kwa nini nasema inafeli?

1😛amoja na kesi ya kutomtambua Lipumba na kauli ya Msajili kuwa mahakamani! Bado Lipumba ameendelea na shughuli za chama kwa kujitanua hadi kufukuza wabunge bila woga na hakuna mhimili unaohoji!

2: Kutupiliwa mbali kwa mapingamizi ya wabunge wa CUF waliovuliwa uanachama, ni pigo kubwa kwa upande wa Maalim Seif! Hata wakirekebisha vifungu walivyotakiwa kuvirekebisha, wao wako mahakamani, Lipumba anaendelea na shuguli za chama huku akijipanga kuwaita na kuwahoji wabunge wa majimbo!

3: Kutotambulika kwa maazimio ya CUF upande wa Maalim wa kuwavua ubunge wabunge wawili ni pigo kubwa pia.

NANI ALAUMIWE

1. Mtatiro;
Ndiyo, huyu ni mtu wa kwanza kabisa kulaumiwa na wana CUF' atanisamehe. Yeye alipewa jukumu kuwa mwenyekiti wa kamati ya uongozi ya CUF, Lakini amekuwa akifanya siasa za mtandaoni zaidi, kila Lipumba akifanya jambo, yeye huja kulalamika mtandaoni na hukomea kuandika tu bila ya kuelezea njia mbadala ( rejea post zake kwenye plofile yake) Sasa kama yeye kiongozi analalamika na kujibu mapigo ya Lipumba mtandaoni, wengine watafanyeje? Yeye huiongelea CUF baada tu ya Lipumba kufanya kisanga, Lipumba akiwa kimya' na yeye yuko kimya. Kwa hiyo amekuwa akicheza ngoma ya Lipumba!

2. Maalim Seif
Yeye namlaumu kwa kutochukua hatua mapema, Lipumba hakupaswa kupewa nafasi mapema, naye sasa amekuwa akijibu mapigo ya Lipumba tu badala ya Lipumba kujibu mapigo yake! Lipumba akiita Baraza lake, naye anaita lake, Lipumba akifukuza wabunge, naye anafukuza! Amechelewa sana!

NINI CUF YA MAALIM IFANYE?
Kwa sasa CUF ya Maalim imebanwa sana na Lipumba, na naona imebakiwa na option mbili tu!

1. Mahakama;
Mahakama pekee kwa sasa ndo imebaki kuweza kuamua kama CUF iwe ya Lipumba au ya Maalim. Na ikitokea mahakama ikaamua kuwa CUF iwe ya Lipumba, Maalim atabaki na option mbili tu, mosi kuungana na Lipumba au

2. Kuongeza nguvu CHADEMA.
Option ya mwisho kabisa kwa Seif ni kutangaza kuachana na siasa za CUF ya Lipumba na kuongeza nguvu upande wa CHADEMA. Faida kubwa kwa upande wa CHADEMA ikiwa hili litatokea, ni kupata wafuasi wengi Zanzibar bila chenga! Na hapo ndipo msemo usemao "Waliokuwa nyuma ya Lipumba waliruka mkojo wakakanyaga kinyesi" utatimia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ndio siasa. Tulia dawa iingie.
 
Bado nitajaribu kukuelekeza...
Nimesema hivi, Chadema imeimarika zaidi kaskazini..!!
Huo msemo umeuelewa lakini??

Na hapa nakukumbusha, wewe ndiye uliyeleta hoja za viti, nilichofanya ni kukujibu kulingana na hoja zako..!!
Ila ukitulia nadhani utaelewa kwa usahihi mantiki yangu..!!

Sina haja ya kujibu hizo porojo zako za kuuza viti sijui nini, hizo kwangu ni kama sauti za mbwa au paka jalalani.!!
Hazina matiki yoyote ya kujadiliwa na wenye akili timamu. Labda kama utaweka hapa hati za hayo mauziano...

Sehemu uliyobold ni jibu la maneno
yako haya...



Sasa sijui katibu mkuu kazi yake iliishia huko huko Zenji peke yake, jibu unalo..!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari nimepata majibu ya point zako na nimekutambua vema unani wewe! mnatambulika kwa visigino vyenu na uwezo wenu wa kutoa majawabu ambayo hakika yanaendana na sifa zenu.

Ukimkuta mtu anajisifia akili zake... unatambua yu nani usiulize!!!
 
Yaani Chadema mnaiua CUF bila huruma?
Maalim Seif akijiunga na Chadema itakua kajimaliza jumla

Sent using Jamii Forums mobile app
Minadhani maalimu akijiunga chadema,CUF ndo itakufa Zanzibar,na CHADEMA kuwa na nguvu Zanzibar,kwa sababu maalimu anaushawishi mkubwa sana Zanzibar,na Lipumba analijua hilo ndo maana kila siku anamwita buguruni akampangie majukumu.kumbuka zitto walipomtimua CHADEMA walisema ndo washammaliza,lkn hata alipokwenda ACT wazalendo alishinda pia na kwa maalimu ni hivyo hivyo tu.
 
Back
Top Bottom