kimarabucha
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 791
- 621
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kasome Katiba ya CUF ibara ya 117Kurejea kwenye nafasi yake?
hakitaweza kusajiliwa,
Pole sana kakaChadema watapata wapi wachaga wa kuwasimamisha zanzibar?
Kisiasa ni kosa watanunuliwa tena!Japo kwa sasa cdm ina gain kutokana na mgogoro huu,naiona cdm ikipata japo jimbo z'bar na ikipoteza eneo kubwa bara hasa Kanda ya ziwa.Cuf hii ya lipumba na Sakaya ikipata japo jimbo moja bara itatakiwa itambike.Wabunge hao watahamia chadema na watachaguliwa tena kupitia chadema
Ebo! Wee ulikuwa wapi siku zote unakuja kuuliza maswali ya kitoto hapa? Mzozo huu una miaka miwili sasa, unakuja kuuliza leo? Give me a breakTuwekee hapa tuone plz
Nenda Facebook ukabishane na wenzako kulePovu la nini sasa umekunywa omo au takasa?