Uchaguzi 2020 CUF ndicho chama chenye sera bora kuliko chama chochote hapa Tanzania. Tukichangie chama chetu tukashinde uchaguzi kwa kishindo

Uchaguzi 2020 CUF ndicho chama chenye sera bora kuliko chama chochote hapa Tanzania. Tukichangie chama chetu tukashinde uchaguzi kwa kishindo

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
IMG_20200829_144332_018.jpg
CUF NI CHAMA CHA WANANCHI KINATEGEMEA WANANCHI WENYEWE TUCHANGIE CHAMA CHETU TUWEZE KUSHINDA UCHAGUZI HUU NA TUTASHINDA

#HABARI Mgombea wa urais wa Tanzania kupitia CUF, Mchumi wa Dunia Prof. Ibrahim Haruna Lipumba Leo agosti 29, 2020 amezindua mpango maalum wa wanachama na wapenzi wa CUF kuchangia chama Chao katika kipindi hiki Cha Uchaguzi.

Akaunti ya kuchangia iko benki ya NMB, tawi la Temeke: JINA LA AKAUNTI: CUF MICHANGO, NAMBA YA AKAUNTI NI 20710050166

UNAWEZA PIA KUCHANGIA KUPITIA MITANDAO YA SIMU

1. VODA: 0762469342
2. TIGO
0658111925
3. ZANTEL
0777760490
4. AIRTEL
0699533883
 
Wapumbavu ninyi, mumezulumu maalimu seif kwa hila zenu, na kumrudisha Lipumba ili tu muendelee kua vibaraka wa CCM, tokeni zenu huko
 
Back
Top Bottom