Uchaguzi 2020 CUF: Prof. Lipumba amepitishwa kuwa mgombea Urais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 CUF: Prof. Lipumba amepitishwa kuwa mgombea Urais wa Tanzania

Kama atafanikiwa kukamata dona, atakuwa ndie profesa wa kwanza kuwa rahisi barani kwetu
 
Kila msimu chama kina mgombea mmoja tu wa urais, ndo kitegemee kushinda sijui baraza lake la mawaziri kitatoa wapi au yeye atakuwa Rais na baraza la mawaziri yeye mwenyewe maana hakina watu zaidi ya yeye.
 
Back
Top Bottom