johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CUF ni Chama cha Wananchi kama Yangambona cuf wamechukia kwani alikua mwanachama wao?
kwaio hata sisi makamanda tunatetewa na cuf ikibidi?CUF ni Chama cha Wananchi kama Yanga
Hakikakwaio hata sisi makamanda tunatetewa na cuf ikibidi?
Baraza Kuu la CUF ni uchwara?Bwasee habari zako zimekuwa zakuokota okota sana kwenye viblog uchwara. Vyanzo vyako sio credible.
Kwa nini wafunge wanafunzi walio kwenye scholorship badala ya kuwarudisha makwao?Sio watanzania tu, ni vijana wa Afrika
Wamekuwa wakihadaa kutoa scholarships kwa vijana wa Afrika, ukifika huko unapewa kesi za mchongo, mateso makali gerezani hadi unatamani kujiua,
Kisha wanakupa ofa, ubaki gerezani au ukapigane frontline
Ukitafakari mateso yao inabidi kwenda tu ukafie huko kuliko gereza la urusi
Kuna mtz aliepewa scholarship kwenda Urusi akabambikiwa kesi???Sio watanzania tu, ni vijana wa Afrika
Wamekuwa wakihadaa kutoa scholarships kwa vijana wa Afrika, ukifika huko unapewa kesi za mchongo, mateso makali gerezani hadi unatamani kujiua,
Kisha wanakupa ofa, ubaki gerezani au ukapigane frontline
Ukitafakari mateso yao inabidi kwenda tu ukafie huko kuliko gereza la urusi
Acha akili mbovuilibidi CUF waseme hivi "watanzania wakome kuchukua 8m/m ili kutokwenda vitani"
Achana naye huyo anafikili izi Ni zama za kambarageBaraza Kuu la CUF ni uchwara?
Ndio sababu Lipumba kawapuuzeni pale Barazani
Inasemekana kuwa:kesi ya Bwana Nemes ilikuwa bado iko mahakamani so hakuwa amethibitiswa na mahakama kuwa ni mhalifu ila Putin akampeleka frontline.Sio watanzania tu, ni vijana wa Afrika
Wamekuwa wakihadaa kutoa scholarships kwa vijana wa Afrika, ukifika huko unapewa kesi za mchongo, mateso makali gerezani hadi unatamani kujiua,
Kisha wanakupa ofa, ubaki gerezani au ukapigane frontline
Ukitafakari mateso yao inabidi kwenda tu ukafie huko kuliko gereza la urusi
Baraza Kuu la CUF ni uchwara?
Ndio sababu Lipumba kawapuuzeni pale Barazani