johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Baraza Kuu la Chama cha Wananchi CUF limeitaka Urusi kukoma mara Moja kuwatumia Watanzania kwenye Vikosi vyake Vitani
CUF wamesema jambo hilo halikubaliki kabisa
Chanzo: Mwanzo tv
CUF wamesema jambo hilo halikubaliki kabisa
Chanzo: Mwanzo tv