the guardian 17
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 395
- 570
Hahaha mzee akalee wajukuu bhanaLipumba aisee apumzike tena duh
Atawafukuza wote haoLipumba aisee apumzike tena duh
Lipumba hawezi kukubaliWanachama wanadai Prof. Lipumba hajafuata mchakato wa kikanuni wa kugombea uenyekiti, ikiwemo kutofuata utaratibu wa kuchukua fomu. Wanasema Lipumba hakuchukua fomu, hakurudisha wala kusaini na badala yake inadaiwa kuna watu ambao ndiyo walimfanyia, jambo ambalo ni tofauti na utaratibu wa Chama.
View attachment 3224810
Toka lipumba anze kuwa kiongozi wa chama cuf imefaidika nini na yeyeProfesa Lipumba bado ni kiongozi sahihi kwa CUF. Hao jamaa wasifanye kosa kama la CHADEMA la kumtoa Mbowe na kumweka mwanaharakati asiye na busara Lissu.
Kumbe CUF bado ipo, au imejiotea tena kama mgomba au muwa unavyoota ukishakatwa.Wanachama wanadai Prof. Lipumba hajafuata mchakato wa kikanuni wa kugombea uenyekiti, ikiwemo kutofuata utaratibu wa kuchukua fomu. Wanasema Lipumba hakuchukua fomu, hakurudisha wala kusaini na badala yake inadaiwa kuna watu ambao ndiyo walimfanyia, jambo ambalo ni tofauti na utaratibu wa Chama.
View attachment 3224810
Hii Kali😆😀😃Kumbe CUF bado ipo, au imejiotea tena kama mgomba au muwa unavyoota ukishakatwa.
Lipumba MAFIA sanaWanachama wanadai Prof. Lipumba hajafuata mchakato wa kikanuni wa kugombea uenyekiti, ikiwemo kutofuata utaratibu wa kuchukua fomu. Wanasema Lipumba hakuchukua fomu, hakurudisha wala kusaini na badala yake inadaiwa kuna watu ambao ndiyo walimfanyia, jambo ambalo ni tofauti na utaratibu wa Chama.
View attachment 3224810