CUF wanatumiaje ruzuku yao bara?

CUF wanatumiaje ruzuku yao bara?

Nafikiri unahitaji kwenda ndani zaidi katika uchambuzi wako. Ni busara ukajiuliza suala la nyongeza . Ni kwa nini hiyo CUF ikawa na uwezo wa kushinda kule Chanja-Mjawiri na Chokocho tu? na siyo popotepale pengine katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?


Karibu tena PAKACHA! Hatukuoni mpaka tuijadili CUF au Wapemba? Kuna Zengwe hapa la CCM na mapigano ya matusi na shutuma hebu tuwe pamoja nawe.
 
Ndio maana yake lakini inaonekana wana agenda ya siri ,si tunafahamu vyombo vya habari vinavyotika kupotosha ukweli ,sasa hata Mwanakijiji nae anatumika ndio maana yake.

MWANAKIJIJI,
Una maswali mawili ya kkutujibu Kwanza kwa nini msingi wa Baruwa umeweka kapuni na kuleta udaku?
La pili nawe umeshakuwa biashara na mtazamo wako?
 
MWANAKIJIJI,
Una maswali mawili ya kkutujibu Kwanza kwa nini msingi wa Baruwa umeweka kapuni na kuleta udaku?
La pili nawe umeshakuwa biashara na mtazamo wako?


Kwa muda mrefu nimekuwa mfuatialiaji mzuri wa post/thread za MKJJ ha JF na pia ktk makala zake magazetini. Jambo moja kubwa nililogundua ni mtu wa Double standard. Kuna wkt anajifanya ni mpenzi mzuri sn wa Upinzani, ukija kupitia makala zake ktk magazeti kwa undani zaidi na hata humu JF ni kama anaombea CCM wajirekebishe makosa yao ili waendelee kuwa madarakani kwa miaka mingi zaidi. Mara nyingi huwa namfananisha na Jenerali Ulimwengu, wakati ule yupo Habari Cooperation ktk makala zakenyingi ktk RAI anaelezea mapungufu ya serikali ya mkapa na chama kwa ujumla but wakati huohuo anaombea waendelee kubakia madarakani.

Tutake au tusitake maendeleo na mafanikio ya WaTZ kamwe hayatapatikana CHINI ya Utawala wa CCM.

Tunapokosoa mapungufu yaliyopo ktk upinzani tusiwe na dhamira zetu nyingine kwa malango wa nyuma; tuwe wakweli na tuache UNAFIKI.

Kikubwa kinachotudidimiza WaTZ ni uoga, unafiki, ujanja ujanja, uongo na ubinafsi mwingi ndani yake. Huwa nafikiria kama WAZEE wetu waliopigania UHURU wangekuwa kama sisi hivi leo, ninahakika bado tungekuwa chini ya udhibiti wa mkoloni.

TUSIMAME WOTE KWA PAMOJA TUSEME;SASA TUNAFANYA MAPAMBANO YA KWELI.

ALUTA KONTINUA!!!

 
Wewe Kibunango, wakati mwingine acha utani wakati watu wanapojadili mustakabali wa Taifa. Kila siku wanywa tende, huna msamiati mwingine. Kuwa CCM sio sababu ya kila kitu cha mpinzani ukione ni upuuzi, wote tuko TZ tunapata matatizo sawa, labda useme mwenzetu na ndugu zako wote mko matawi ya juu.
Naona ujaona bandiko la Mwiba, ambae anadai kuwa CUF bara(Tabora) wameshindwa kulipia pango la ofisi hadi kunyang'anya ofisi hiyo kwa kuendekeza pombe.

Huu kwangu mimi ulikuwa ni utani wa hali ya juu, kwamba CUF Tabora ni walevi kiasi cha kushindwa kupanga matumizi ya ruzuku wanayopewa?
 
MWANAKIJIJI,
Una maswali mawili ya kkutujibu Kwanza kwa nini msingi wa Baruwa umeweka kapuni na kuleta udaku?
La pili nawe umeshakuwa biashara na mtazamo wako?
Huyu Mzee Mwanakijiji anahitaji kumwinyishwa kwa lugha nyingine kuzabwa kibao 😀 Wazee wengine ni wachinvi tu.
 
Karibu tena PAKACHA! Hatukuoni mpaka tuijadili CUF au Wapemba? Kuna Zengwe hapa la CCM na mapigano ya matusi na shutuma hebu tuwe pamoja nawe.
Bw. Ngekewa na Mheshimiwa mwenzio mnaonekana hamtaki kusaidia kujibu suala lililowekwa katika bandiko hili. Hivi ruzuku hutumikaje kwa mintarafu ya kuendeleza Chama (CUF) huko Tabora, Tanga na Dodoma na kwengineko. Ama mimi nasema hata huko Kitovuni (Pemba) ruzuku haijaonekana ikitumika kutengeneza majengo ya matawi katika hilo eneo ambalo CUF tunaambiwa inapata kura asilimia zaidi ya thamanini.
 
Bw. Ngekewa na Mheshimiwa mwenzio mnaonekana hamtaki kusaidia kujibu suala lililowekwa katika bandiko hili. Hivi ruzuku hutumikaje kwa mintarafu ya kuendeleza Chama (CUF) huko Tabora, Tanga na Dodoma na kwengineko. Ama mimi nasema hata huko Kitovuni (Pemba) ruzuku haijaonekana ikitumika kutengeneza majengo ya matawi katika hilo eneo ambalo CUF tunaambiwa inapata kura asilimia zaidi ya thamanini.
Sasa bandiko feki inabidi lijibiwe kifeki ,ruzuku Lipumba na seifu haiwatoshi vipi wataipeleka kwengine,wanachama wenyewe wajenge matawi yao,si wao ndio Chama Chao ,ruzuku ni rushwa kutoka kwa serikali CUF wanairudisha hawaipokei.
Barua ya asili ilikuwa imerudisha ruzuku ila msajili akadai kilichorudishwa ni kidogo ndio akaonyesha feza yote iliyotoa tokea 1995 kwa maana feza iliyorudishwa haikutimia.
 
Sasa bandiko feki inabidi lijibiwe kifeki ,ruzuku Lipumba na seifu haiwatoshi vipi wataipeleka kwengine,wanachama wenyewe wajenge matawi yao,si wao ndio Chama Chao ,ruzuku ni rushwa kutoka kwa serikali CUF wanairudisha hawaipokei.
Barua ya asili ilikuwa imerudisha ruzuku ila msajili akadai kilichorudishwa ni kidogo ndio akaonyesha feza yote iliyotoa tokea 1995 kwa maana feza iliyorudishwa haikutimia.
Hili la ruzuku limekubana, na huna pa kutokea!
 
Bw. Ngekewa na Mheshimiwa mwenzio mnaonekana hamtaki kusaidia kujibu suala lililowekwa katika bandiko hili. Hivi ruzuku hutumikaje kwa mintarafu ya kuendeleza Chama (CUF) huko Tabora, Tanga na Dodoma na kwengineko. Ama mimi nasema hata huko Kitovuni (Pemba) ruzuku haijaonekana ikitumika kutengeneza majengo ya matawi katika hilo eneo ambalo CUF tunaambiwa inapata kura asilimia zaidi ya thamanini.

Pakacha, Mi ni Muunguja mwenzio hivyo tusiwe wanafiki. CCM huko kwetu mmefanya nini kwa ruzuku mnayopata? Matawi mengi aidha ni magifu yakiyoachwa na Wamanga au ukilona lina sura nzuri basi lilijengwa na serikali wakati wa ASP. Hata Makao Makuu ya CCM pale Kisiwandui yalijengwa na Marehemu Mzee Karume na hadi sasa hakuna maendelezo yoyote mbali ya kupokea mamilioni ya pesa za kodi kwa Wapemba mliowakodisha kuzunguka hilo jengo. Jengo la Umoja wa Vijana Darajani taabani. Sasa hizo pesa za Ruzuku nanyi mnazipeleka wapi na mnapata karibu mara mbili za wanaopata Watani wenu CUF? Wacha nisimame hapo mengine labda kama utayatafuta.
 
Hili la ruzuku limekubana, na huna pa kutokea!


Naona si kawaida yako kuacha kusoma thread inavyokwenda. Kwa hili hata mie nisiyekuwa mwanachama wa CUF lisingenitowa jasho seuze mpinga Usultani MWIBA.
Nafikiri kuna mchangiaji alyezigawa hizo pesa billioni karibu tatu kwa mwezi ni karibu 250 millioni kwa mwezi hebu fikiria kiasi hicho kama ni tegemezi la kuendesha chama nchi nzima utafika wapi.
 
Nafikiri kuna mchangiaji alyezigawa hizo pesa billioni karibu tatu kwa mwezi ni karibu 250 millioni kwa mwezi hebu fikiria kiasi hicho kama ni tegemezi la kuendesha chama nchi nzima utafika wapi.

Ngekewa,

2.6 Bil ukigawa kwa miezi 12 ni shilingi milioni 105 tu kwa mwezi!

Zii pesa nyingi!

Fikiria ukuwa na mkutano Mkuu.. na wajumbe wote toka kila wilaya Tanzania ni shs ngapi?
 
Hivyo unaamini kuwa Fedha ndio kila kitu? Basi CCM isingeshindwa kupata viti kule Pemba na CUF wangeanza kupata viti vingi kule Umguja.
Hata hivyo CCM walistahili kushinda nchi nzima kwa vile walikuwa na ruzuku mara kumi zaidi ya CUF na mabilioni ya wananchi kwa kupitia EPA. Nafikiri pesa si suluhisho bali ni kukubalika na wananchi. Tatizo la CUF kutopata nguvu BARA ni kasumba yetu:
-CUF chama cha kidini
= CUF ni chama cha Waarabu
= CUF kinataka kuleta usultani
-CUF viongozi wake wabaguzi
Mpaka hapo wananchi wa Bara watakapoondokana na dhana hiyo iliyojengwa makusudi na CCM hata wapate pesa za EPA CUF wataendelea kusuasua tu Bara.

Kauli zako zinabishana zenyewe! But Kanyaga twende tutafika tu
 
Ruzuku is a bit important to ensure that political parties get something done. There should however be independent checks to ensure people dont steal. Since the money comes from the Tx payers.. they should make amendments to allow the CAG to audit their accounts annually or so.. (just a thought).. Regarding where and how they spend the money, it doesnt matter as long as there is no embezzlement. CUF for example ought to be able to use the money in the most effective way. As it stands for them.. nikujiweka katika utaratibu wakushinda Znz.. They have a real chance there and have actually won the last 2 elections. Chamsingi nikwamba this argument about watumie bara pia is pointless.. The party should and I'm sure they do, albeit to a small extent, spend some money bara.. naturally they have to.. Wana ma ofisi nakadhalika na viongozi wao wako huku, security and other costs za admin.. Lakini for the quickest and best political effect.. CUF lazima wafocus ZnZ and this is partly due to CCM-kubanwa na dunia. Huyu Rais mchekacheka anavyopenda kwenda Ulaya hawezi kuwaacha wazungu wakamuona tyrrant.. Muafaka umefail.. Kikwete being a reactionary president who does not really think ahead... hajui kwamba CUF watakashinda znz alafu itakuwa ishu... CCM watatumia mababe...machafuko...nchi itaonekana imeoza. So its perhaps not the best idea wao kutumia hela nyingi bara.. Japokuwa najua lazima watakuwa na mpango wakuongeza wabunge Bungeni.. Hakuna hata chama kinachoweza kuform official opposition in Parliament.... fikisheni ata wabunge 50 basi..
 
Na mipango ya Sultani CCM kuibana CUF ili ikose hiyo official opposition in Parliament kwani ikumbukwe CUF iliwahi kuunda hiyo na baada ya hapo ilipangiwa isipate mbunge hata mmoja bara na ndivyo ilivyokuwa, na si kwamba hawakupata bali hawakupewa kwa uleule mtindo wa kubadilisha matokeo ,CUF ilishinda karibu sehemu zote walizosimamisha mbunge ,lakini tume ya Uchafuzi ndio iliorudi na matokeo wanayoyataka wao.Hata hivyo kadiri siku zinavyokwenda time will tell us who was behind all these.
 
si kwamba hawakupata bali hawakupewa kwa uleule mtindo wa kubadilisha matokeo ,CUF ilishinda karibu sehemu zote walizosimamisha mbunge ,lakini tume ya Uchafuzi ndio iliorudi na matokeo wanayoyataka wao.

Mkuu mbona unakidhalilisha chama chako? Chama makini lazima kiwe na njia za kulinda kura zake. CUF inashindwa kufanya hivyo?
 
Mkuu mbona unakidhalilisha chama chako? Chama makini lazima kiwe na njia za kulinda kura zake. CUF inashindwa kufanya hivyo?

CUF haijashindwa ila wananchi ndio wameshindwa mbona wananchi wa Pemba waliweza kwani wao si watu ?
Ila uongozi unasema bado bara wananchi hawajaelewa maana ya vyama vingi na itafika wakati wataelewa tu ,kwani Pemba haikuchukuliwa kwa uchaguzi mmoja zimepita nyingi na sasa watu ni ngangari kinoma ,hawataki hata kuisikia ZZM kama unaona kuna wapemba wamo CCM basi ni kwa manufaa ya Chama lazima wengine wabaki,hivi sasa mikoa mingi imeanza kuamka na kuikataa na kuisema CCM hadharani ,Pemba wakati wa kuisema CCM hadharani umepita sasa wanaitukana hadharani ,si ulisikia walipokuwa wakiimba .....kura ya maoni karume kampe mkeo ,,,ni wananchi hao waliochoka na mababaisho ya Sultani CCM.
 
Kauli zako zinabishana zenyewe! But Kanyaga twende tutafika tu

La!! Hapana, kauli zangu zinakanyagana na zako. Kauli zangu ziko wazi kuwa CCM wamepandikiza mbegu ovu juu ya CUF (nataja CCM kwa kuwa haina mtetezi hapa jukwaani na naogopa kuanzisha kukanyagana kwengine nikiwataja wahusika wengine. wa kusambaza mbegu hizi).Mpaka hapo tutakapotoka kwenye kasumba hizo CUF hata ipate fedha kiasi gani haitaweza kuwa na nguvu Bara.
 
Back
Top Bottom