Mwiba there sometime lazima tukubali kuwa hata vyama vyetu vina mapungufu... Kutokiri hili maana yake the same na wanaCCM ambao hawaamini au hawataki kuamini Chama chao kina mapungufu mengi tu....
Kuna Nukta moja ambae aliigusa Nungunungu huko nyuma alisema tatizo la CUF ni UBAKHILI...believe me or not serious political party lazima kiwe na mtandao wa kuhahikisha yale wanayoyafanya yanakuwa public ili ku-gain wanachama.
Labda nikuulize kwanini hadi sasa CUF hawana Gazeti...?kumekuwa na mission ambayo either imepangwa au au watu kuichukia CUF kutoandikwa vyema kwa magazeti au vyombo vya Habari like redio...hata wakati wa Uchaguzi...The same CUF wangeweza kuwa media zao wenyewe tu...assume pesa za propagation hamnazo, pesa mnazo pata mnawekeza alau kuwa na Redio na gazeti na website ambayo ipo update...(sio blog)..ilifika kipindi website ya CUF kujaa porns....kwakuwa kulikuwa hakuna updates or whatever....?ikawekwa thread hapa...i think walirekebisha..tuseme hata kumlipa web admin tu awe anapost news za CUF mnashindwa? Mnategemea Huruma ya Vyombo vya Habari ambavyo tunadai hapa jamvini Vimenunuliwa...?
Pia sense ya kuwaona wabara hawaaminiki au watu wa kununuliwa si sense njema, wakati tunapotafuta kuwawin wananchi maneno ya Kejeli au kebehi si mahala pake...Lazima tujue Historia ya kila sehemu ambayo jamii yetu imetoka...ukiiingalia uwelewa wa siasa znz na bara tofauti kidogo na hasa kutokana na mambo ya kihistoria...Ukiangalia ukubwa wa ZNZ na bara tofauti..within 2 weeks unaweza maliza Unguja na Pemba yote kutembelea na kufanya ushawishi...Bara ni tofauti...DSM pekee yake shughuli ipo kubwa..so
Matumizi ya pesa mnayopata kama mnataka kuwin na sio kuwacheza shere wananchi...lazima muweke strategies za namna ya kuwafikia wananchi
Rais wa Senegal ilimchukua miaka takriban 25 au more tangu akiwa mpinzani hadi kuwa rais...Kimsingi yapo ya Kujifunza kutoka kwake.(sina Hakika kama wapinzani kwa umoja wao au kwa ubinafsi wao au kwa level ya Mgombea kama wamefanya hata visiting tu...).namna gani aliweza kuwa-win wananchi...ni Hesabu tu ambazo vyama vyetu vinaweza kufanya. Bahati mbaya hatupigi Hesabu...Tunachofanya ni kusubiri uchaguzi na yaliyojiri baada ya uchaguzi kutushughulisha hadi uchaguzi mwingine.....Matokeo yake the only options itakayokuja ktk vichwa vyetu ni mapinduzi...!!!
Let us assume...Mnachokipata ni Kidogo sana...lkn kwa udogo wake fanyeni kitu wananchi wakione...let us say Mkajenga shule alau moja na Zahanati moja..kwa mwaka..!!!Hili hamshindwi ila Hamjaamua(Tusisubiri kupata Governmet ndo tufanye..let us wananchi watuhukumu)...amini hata wananchi wengine watakuja kuwaunga Mkono...na Hili si tu kwa CUF hata na vyama vingine...Kama hatuna Culture ya kutoa Vidogo tuvipatavyo, Je tukipata vingi tutatoa?...we need to build that culture!!!
Believe me kitakachomrudisha Muungwana madarakani ni hizi shule za kata, na plan za zahanati...pamoja na mapungufu yaliyopo...wale wananchi wanafeel kuwa atleast mwanae amepata njia ya kuelekea Juu...
Please let us take these as challenges on the way to 2010 election...na sio usaliti kama wengine wanavyotaka tuamini...!!!