CUF yaanza maandalizi mapokezi ya Dkt. Bashiru, yakiri ni mwanachama hai wa chama hicho, akilipia kadi yake

CUF yaanza maandalizi mapokezi ya Dkt. Bashiru, yakiri ni mwanachama hai wa chama hicho, akilipia kadi yake

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.

it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.

Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.

Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
 
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.

it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.

Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.

Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Kwa taarifa yako Dkt. Bashiru hatoki CCM leo wala kesho mtabanana hapohapo na sauti yake akiongea mnajamba kila kona ya nchi.
 
ana mengi sana ya kujibu mbele ya watz akiwa na mwenzake kinyume cha harakaharaka. kwa walionielewa wamenielewa. kwa wanaowajua hao, hawawezi kuoga maji machache hadi watakate. na ndio maana alikuwa hadi na ujasiri kwamba hatahitaji wala kukubali cheo kingine chochote baada ya KK. walikuwa na viburi vya juu ambavyo ni Mungu tu aliamua kushuuka kuwaadibisha.
 
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.

it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.

Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.

Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Tusage kunguni tu kwa machawa ya mwendazake.
 
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.

it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.

Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.

Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Kiapo kinaruhusu tu kuwa mwanachama wa CCM? SHAME ON YOU
 
Back
Top Bottom