Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Baahiru bado yupo yupo sana ccmMbona unaanza kuuliza ubaya, uliza na uzuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baahiru bado yupo yupo sana ccmMbona unaanza kuuliza ubaya, uliza na uzuri
Bwasheee usipanic karibu udpMbona unaanza kuuliza ubaya, uliza na uzuri
Wa kumleta hapo ufipa stWewe ni wakala?
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uanachama wa chama utakoma endapo utafariki au kujiunga na chama kingine cha siasa.Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Sawa MRS BASHIRUKwa taarifa yako Dkt. Bashiru hatoki CCM leo wala kesho mtabanana hapohapo na sauti yake akiongea mnajamba kila kona ya nchi.
Panakunyima usingizi mno hapo mahaliWa kumleta hapo ufipa st
Nipo Mtambani hapa nagonga supu ya kongoroPanakunyima usingizi mno hapo mahali
KabisaAcha kumfananisha shetan na vitu vya kijinga
Ng'ombe waliofia mlandizi hao ndio supu yake huuzwa hapoNipo Mtambani hapa nagonga supu ya kongoro
Jo mla vibudu, ha ha ha haaaaNg'ombe waliofia mlandizi hao ndio supu yake huuzwa hapo
Na abaki humohumo !!Kwa taarifa yako Dkt. Bashiru hatoki CCM leo wala kesho mtabanana hapohapo na sauti yake akiongea mnajamba kila kona ya nchi.