Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ndani ya CCM kuna mashetani tupuchawa wote wa mwendazake wanatakiwa kusagiwa kunguni, walitutesa sana, wamefanya mengi sana, walijiona miungu watu, hawastahili hata kupata hcochote. anayetegemea mwanadamu huwa anadondokea pua siku mwanadamu yule anapokufa. tumainiini Mungu tu.
Haini Hana uwezo wa kuijambisha CCM, believe me ataikimbia CCM muda si mrefukwa taarifa yako Dr. bashiru hatoki ccm leo wala kesho mtabanana hapohapo na sauti yake akiongea mnajamba kila kona ya nchi.
Ni haki yake kikatiba kabisa nimatakie all the best aendakoKina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Kwani alizaliwa na ukatibu mkuu shingoni? Mtu yeyote timamu anajua cheo ni dhamana.Maisha yamemgeuka, kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, mpaka kuzurura na starlet kariakoo akijiendesha
Usisahau, kila mchuma janga ula na wa kwaochawa wote wa mwendazake wanatakiwa kusagiwa kunguni, walitutesa sana, wamefanya mengi sana, walijiona miungu watu, hawastahili hata kupata hcochote. anayetegemea mwanadamu huwa anadondokea pua siku mwanadamu yule anapokufa. tumainiini Mungu tu.
Si ni mwanachama wa cuf , shida iko wapi ?Akienda CUF kuna ubaya gani?
Ndio nashangaaSi ni mwanachama wa cuf , shida iko wapi ?
Wewe chiembe acha kutumika kama kopo la chooni.Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Huu sio Uganga wa kienyeji?,Dr.Bashiru ana haki yake kama sisi kujiunga na political party yeyote anayataka na kukubaliana na katiba ya chama anachokitaka, kiapo cha kuwa katibu mkuu wa ofisi ya rais!!acha uzuzu wako,usalama gani wa taifa unausema hapa?,uoga wa middle class ndio cancer kubwa, sasa soma hii,kuna wakati two former PM walikua kwenye oppositions, na maisha yakaendeleaKina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Kama ni mwanachama hai na hajawahi kuiacha CUF, vipi arejee sehemu ambako hajawahi kuondoka ?Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Hata Samia alikuwa chawa wa Magufuli labda hauelewi,niliwahi kumsikia kwenye kampeni ya uchaguzi,akisema hata mpige kura msipige lazima CCM ya Magufuli lazima itawale,kila Siku alikuwa akizunguka kusifu kazi za Magufulichawa wote wa mwendazake wanatakiwa kusagiwa kunguni, walitutesa sana, wamefanya mengi sana, walijiona miungu watu, hawastahili hata kupata hcochote. anayetegemea mwanadamu huwa anadondokea pua siku mwanadamu yule anapokufa. tumainiini Mungu tu.
Hana huo umasikini unaofikiria, Bashiru huyu wa mwendazake atasuasua kwenye maswala mengine lakini sio swala la pesa, pesa waliochimba hao jamaa sio ya kitoto.Maisha yamemgeuka, kutoka Katibu Mkuu Kiongozi, mpaka kuzurura na starlet kariakoo akijiendesha
Acha kumfananisha shetan na vitu vya kijingaNdani ya CCM kuna mashetani tupu
Na kile chama kinachosubiri usajili kitakuwaje sasa? Au kuna plan A na B?Kina tetesi kwamba Bashiru amekuwa na vikao vya Siri sana na viongozi wa juu wa CUF. Moja kati ya mambo waliyojadili ni mapokezi makubwa ya Bashiru Ally Kakurwa ambaye muda si punde atarejea kwenye chama chake Cha CUF.
it's wa chama Cha CUF ambao waliomba majina yao yasitajwe, walieleza kwamba Bashiru amelipia kadi ya CUF mpaka 2027. Mara kadhaa amekuwa akikutana kwa Siri na Prof Lipumba.
Bashiru amedai kwamba nafasi yake kisiasa ndani ya CCM haipo tena, na ameeleza Nia yake ya kuutaka urais wa Tanzania.
Mwenda kwao si mtumwa. Ila tunakumbusha tu viapo alivyokula akiwa Katibu Mkuu kiongozi, ambavyo vinalindwa na sheria ya usalama wa Taifa.
Wewe ni wakala?Akienda CUF kuna ubaya gani?