Cuhas: Tupeane mawaidha

CHUAKACHARA

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2011
Posts
12,357
Reaction score
6,424
Wale wa CUHAS tupeane mawaidha hapa. Panalipa-student life ?
 
mbona paukweli hapo

Unajua vyuo vingine vina ubabe wa kuwanyanyasa wanafunzi mpaka wakome kuomba pale. Hasa MUHAS wana tabia hiyo chafu ya ku-terrorise wanafunzi. Si unasikia eti UDSM law wanasema wamedhalilishwa kuletewa wanafunzi wa div. 2!!
 
Unajua vyuo vingine vina ubabe wa kuwanyanyasa wanafunzi mpaka wakome kuomba pale. Hasa MUHAS wana tabia hiyo chafu ya ku-terrorise wanafunzi. Si unasikia eti UDSM law wanasema wamedhalilishwa kuletewa wanafunzi wa div. 2!!

hapo kwenye muhas mbona sikuelewi elewi..nipe more info kwa ulichosema man maana nimechaguliwa pale..
 
hapo kwenye muhas mbona sikuelewi elewi..nipe more info kwa ulichosema man maana nimechaguliwa pale..

No usiogope, kuna katabia ka kuwanyanyasa wanafunzi na masomo. Lakini nasikia sasa tabia hiyo inaisha maana kizazi cha manyanyaso kinaishia. Be confortable gentleman!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…