CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Wale wa CUHAS tupeane mawaidha hapa. Panalipa-student life ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona paukweli hapo
Unajua vyuo vingine vina ubabe wa kuwanyanyasa wanafunzi mpaka wakome kuomba pale. Hasa MUHAS wana tabia hiyo chafu ya ku-terrorise wanafunzi. Si unasikia eti UDSM law wanasema wamedhalilishwa kuletewa wanafunzi wa div. 2!!
hapo kwenye muhas mbona sikuelewi elewi..nipe more info kwa ulichosema man maana nimechaguliwa pale..