CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
CUHAS, mnaongeza idadi ya wanafunzi wakati mnajua fika kuna tatizo la malazi. Sasa watoto wanatafutana kupata vyumba chuoni. Wakatoliki, wacha wengine wafanye hivyo sio nyinyi. You are ruining your credibility! We need quality products and not quantity