CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,357
- 6,424
Tatizo la maradhi lipo almost kila chuo tanzania....ila nackia udom mavyumba bwerere had mengne yapo vacant tuu
Tatizo la maradhi lipo almost kila chuo tanzania....ila nackia udom mavyumba bwerere had mengne yapo vacant tuu
Hivi kuna chuo kina malazi ya kutosha kwa wanafunzi wote.
by the way walichokifanya sio poa as kuna wanafunzi walilipia vyumba kabla hawajaondoka and baada ya kufungua wana ambiwa hostel za chuo hamna na badala yake wanapelekwa malimbe ambako nauli ni kama 1600 kwa siku! it is not fair yani