Hyo unayosema n Kaz ya kocha yeye n match analyst anaichambua mechi ya mpinzan na ya kwako anakueleza strength na weakness za opponent
Umejuaje hamsaidii? Raratibu umeanza kuonyesha rangi yako halisi kwamba ni hater.Hiyo kazi anayofanya inatakiwa imsaidie kocha vinginevyo anajaza tu nafasi
Unaonaje ukiichukua Simba wewe na kuwa kocha Mkuu utatusaidia sana kutufikisha Kanani!Hivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani,maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi.Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.Tunafungwa magoli yale yale kila siku,michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani.Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu.Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.
Utopolo mnaye kama huyo?
Itapendeza zaidi ukipewa wewe hiyo nafasi nadhani utafanya kazi bora kabisa ya kumfundisha Pablo namna y kuwapanga mabeki na pia utamwambia Onyango au Banka Inonga aache kukodoa mimacho.Hivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani,maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi.Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.Tunafungwa magoli yale yale kila siku,michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani.Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu.Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.
Wewe unajielewa, Tena hapo mlipofika Ni kwa kubahatisha ru, yaani timu inachexa mpira mbovu hakuna mfanoHivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani,maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi.Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.Tunafungwa magoli yale yale kila siku,michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani.Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu.Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.
Mavunga ni match analyst au msomaji wa mbinu za timu pinzani kujua udhaifu wao na ubora wao lakini cha ajabu uyu mavunga yeye mara zote anafanikiwa kwa mkapa tu wakipanda ndege kwenda ugenini pengine kila kitu anakiacha dar maana aieleweki mchango wake kwenye mechi za ugenini uwa ni upi, kwenye mechi karibu zote za ugenini simba inazidiwa kila pembe na aina ya upangaji wa kikosi uwezi kusema eti timu inae mtu Kama uyo,,,uyo mtu anakula mshahara wa bure ni bora iyo kazi akaachiwa kocha mwenyewe, na ata mechi za dar anasaidiwa tu na mechi kuchezwa nje ya uwanja na si vinginevyoHivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani, maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi. Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.
Tunafungwa magoli yale yale kila siku, michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani. Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu. Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.
Mavunga ni match analyst au msomaji wa mbinu za timu pinzani kujua udhaifu wao na ubora wao lakini cha ajabu uyu mavunga yeye mara zote anafanikiwa kwa mkapa tu wakipanda ndege kwenda ugenini pengine kila kitu anakiacha dar maana aieleweki mchango wake kwenye mechi za ugenini uwa ni upi, kwenye mechi karibu zote za ugenini simba inazidiwa kila pembe na aina ya upangaji wa kikosi uwezi kusema eti timu inae mtu Kama uyo,,,uyo mtu anakula mshahara wa bure ni bora iyo kazi akaachiwa kocha mwenyewe, na ata mechi za dar anasaidiwa tu na mechi kuchezwa nje ya uwanja na si vinginevyo
Waambie hao... Maana Simba wana ujuaji sana. Hili jambo hata siku ile kwenye group letu la Yanga tulijadili afadhali umelileta huku nao simba walione.Hivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani, maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi. Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.
Tunafungwa magoli yale yale kila siku, michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani. Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu. Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.