Hivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani, maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi. Kila nikijaribu kuwaangalia wachezaji wa Simba wanavyojipanga uwanjani ni kama ng'ombe tu hasa hasa kwenye mipira ya kutenga.
Tunafungwa magoli yale yale kila siku, michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani. Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu. Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.
Tunafungwa magoli yale yale kila siku, michezaji inakaba kwa macho na wengi wanaduwaa uwanjani. Niseme tu kimataifa hapa tulipofika ni pakubwa sana ukilinganisha na uwezo wa team yetu. Mwisho Pablo ni kocha wa mchongo.