Current situation at the port of Dar es Salaam heavy traffick of vessels

Current situation at the port of Dar es Salaam heavy traffick of vessels

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Tulijua ni mwisho WA mwaka ila Bado hali inaendelea.
Watendaji wizara husika msaidieni Rais ....
Mizigo ya Xmas ndo inafika Leo ya kuuza ya shule January haijulikani itatoka lini
 

Attachments

  • VID-20240112-WA0084.mp4
    5 MB
Tulijua ni mwisho WA mwaka ila Bado hali inaendelea.
Watendaji wizara husika msaidieni Rais ....
Mizigo ya Xmas ndo inafika Leo ya kuuza ya shule January haijulikani itatoka lini
Siyo mzigo ya kawaida kunabiashara ya Ganda pia
 
Hili ni tatizo kubwa.

Yaani mzigo toka nchi za watu, unatumia siku chache kufika nchini, ila kituko ni pale unatumika muda mwingi zaidi kupata release order ya mzigo wako hapa nchini.
Mfumo unaenda kufa ule wa zamani
....Mifumo ya clearance ndio inazingua ukizingatia clearing and forwarding agents ni private ... Halafu inspection pale mara TBS ,GCLA ,TAEC ,SUGAR BOARD ,watu wa madini mtu apate vibali ndio apate mzigo ,inategemea na mzigo kama sukari lazima watu wa mionyi na badi ya sukari upate vibali..
 
Hili ni tatizo kubwa.

Yaani mzigo toka nchi za watu, unatumia siku chache kufika nchini, ila kituko ni pale unatumika muda mwingi zaidi kupata release order ya mzigo wako hapa nchini.
Kwa mfano kulikua Kuna. Express meli za December direct kutoka china mpaka port yetu....
Unalipia express ya 20days unakuja kukaa bandarini more than 1 month...
Aisee ni kilio
 
Mfumo unaenda kufa ule wa zamani
....Mifumo ya clearance ndio inazingua ukizingatia clearing and forwarding agents ni private ... Halafu inspection pale mara TBS ,GCLA ,TAEC ,SUGAR BOARD ,watu wa madini mtu apate vibali ndio apate mzigo ,inategemea na mzigo kama sukari lazima watu wa mionyi na badi ya sukari upate vibali..
Mizigo ya sukari trust me binmichache maana tayari walishaweka kodi ya 100% ku discourage ununuaji WA sukari nje.... Coz ndani inazalishwa.... Japo Sina uzoefu sana na hiko kipengele.... Lakini unataka kuniambia meli zooote hizo tangu mwezi WA 11 Zina sukari??
Hii Ngoma tumeanza imba nayo since Nov/december
 
Laiti Bagamoyo ingejengwa zamani
Ila waswahili tunapenda kujivuta
Unaongelea jambo leo unafanikisha baada ya miaka 20 wakati hela zinafikia mara 4 ya bajeti ya mwanzo
Poleni sana bora muendelee na majahazi tu
 
Kila siku Rais asaidiwe duh
Kabisa...... Ilibidi waziri WA uchukuzi akaweke kambi pale....
Mpaka tuliweza pata kuuza. December na November kampuni wanaotusafirishia alikua kama mfanyakazi WA bandari, daily anasain in pale...
Tatizo lipo na Rais awezi jua yote..
Haijawah tokea Sina experience kubwa ya kusafirisha ni kama 5yrs lakini hili la Sasa ni kubwa kuliko dear...... Hiyo video ni ya jana kumbuka hili sebene ni tangu december
 
Sasa huyo mwenye mzigo ambao alitegemea auuze dec mwaka jana lakini mpaka january hii haujatoka bandarini watamsaidiaje?

Si mtihani huu!
 
Laiti Bagamoyo ingejengwa zamani
Ila waswahili tunapenda kujivuta
Unaongelea jambo leo unafanikisha baada ya miaka 20 wakati hela zinafikia mara 4 ya bajeti ya mwanzo
Poleni sana bora muendelee na majahazi tu
Majahazi Kwa kweli maana kama yalikua yanatumia 4 months kutoka arabuni huko na hizo mel zinavyokaa hapo bandarini ni sawa kabisa mda
 
Hli tatizo mnalolijadili hapa lina uhusiano wowote na dipiweldi nsije nkaanza kulaumu mkanicheka
 
Kuna watu tushaonekana matapeli huku mpka ikabidi utoe pesa yako + mikopo kuwalipa wanaokukaba sana...

Huu upuuzi wa kuagiza/kununua sifanyi tena mpaka hali itengemae.
 
Back
Top Bottom