ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
since nimesaini sony music sasa hivi mitaani nimekua ankwepekabo thing
driving big cars big nyashi big chains na ndoto zmekua ankwepokabo dreams
riski allhamdulilaih
kila chuma kikitoka ni chamoto nakua tingi tapo tingi (..oh My!!..)
ndo maana hizi nasty balls ziko nane ila ukisikia kwa mapepe unaweza sema ni 16
usiniguse me wa moto nina mkwanja nina mkoko
sikuizi naishi maisha yote nilio yaota kwenye ndoto
alaf natokea viena nakuja loco
big convoi kwa mama mandigo street napitia kimoko (..shyushyu..)
nafly na siitaji hata passport
sound zote ni kinanda fuc** scascoch
tena bado I'm hungry cashboss
wakibana tunakomaa na westcost
alaf kuna kitu hamjui (..aanhhh..)
sikuizi haya mambo ya kwenda ulaya hayasumbui (..aanhhh..)
kweli God pesa inaongezeka haipungui (..aanhhh..)
big boy shida ndogo ndogo hazisumbui
Yeeeeh!!! niule wakati wa mitikasi kila kitu ni presidential kizimkazi (..Weweeee..)
kila wakati mipila pasi na kila shuka nikishuka huwa n mkasi
Mmmh kila wakati si huku ni party sikuizi watoto ni Africast hamnipati
ukisnichi kwenye game unaekwa mtu kati sikuiz naenda kama mirror nicheki msafi (uuuh)
Kwa mimi naona hapo lunya katisha kwenye hio trap. Ila country na yeye ana sauti fulani ya kinyamwez sana ila kura Kwa mbuzi hapo
driving big cars big nyashi big chains na ndoto zmekua ankwepokabo dreams
riski allhamdulilaih
kila chuma kikitoka ni chamoto nakua tingi tapo tingi (..oh My!!..)
ndo maana hizi nasty balls ziko nane ila ukisikia kwa mapepe unaweza sema ni 16
usiniguse me wa moto nina mkwanja nina mkoko
sikuizi naishi maisha yote nilio yaota kwenye ndoto
alaf natokea viena nakuja loco
big convoi kwa mama mandigo street napitia kimoko (..shyushyu..)
nafly na siitaji hata passport
sound zote ni kinanda fuc** scascoch
tena bado I'm hungry cashboss
wakibana tunakomaa na westcost
alaf kuna kitu hamjui (..aanhhh..)
sikuizi haya mambo ya kwenda ulaya hayasumbui (..aanhhh..)
kweli God pesa inaongezeka haipungui (..aanhhh..)
big boy shida ndogo ndogo hazisumbui
Yeeeeh!!! niule wakati wa mitikasi kila kitu ni presidential kizimkazi (..Weweeee..)
kila wakati mipila pasi na kila shuka nikishuka huwa n mkasi
Mmmh kila wakati si huku ni party sikuizi watoto ni Africast hamnipati
ukisnichi kwenye game unaekwa mtu kati sikuiz naenda kama mirror nicheki msafi (uuuh)
Kwa mimi naona hapo lunya katisha kwenye hio trap. Ila country na yeye ana sauti fulani ya kinyamwez sana ila kura Kwa mbuzi hapo