BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Wakati unalala ukiwa umewasha feni ama ac hii ndio hali halisi ya Makete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo saba bado kubwa kwa huko huwa inashuka hadi 3"Wakati unalala ukiwa umewasha feni ama ac hii ndio hali halisi ya Makete
View attachment 3010729
Katika kipindi kigumuMuda wa kuungana
Kama unafanya utalii nenda mwenyewe midoli utaikuta hukohukoDuu itabidi siku moja nifanye utalii huko makete nijionee huo utalii lakini pia inanipa somo kuwa ni muhimu kuja na mdoli wangu nilioumbiwa na mungu.
Mdoli wa kutafuta ghafla bin vuup unaweza ukaukuta na urethral tract infection ya kutosha na mengineyo bora mdoli wako mwenyewe ndo mzuri.Kama unafanya utalii nenda mwenyewe midoli utaikuta hukohuko
Ndio maana Makete kuna ngoma balaa, ipo top 3 kama sikosei!Ni kupeleka Tu Moto hakuna namna
Kuna mtu anasema Bora baridi kuliko joto anafanya masihara baridi ni kitu kingineSito sahau baridi nililo kutana nalo mwezi wa 7, 2016. (Iwawa sec) sikumaliza wiki 2 nilikimbia😂