custom officer TRA!

custom officer TRA!

Pretty-baby

Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
56
Reaction score
7
Habarini nilikuwa naomba mnijuze kama custom walishaitwa ,post za dec mwishon!
 
hiyo post wengi tuliiomba ila naona jamaa bado wako kimya tu.......
 
Watu walishaanza kazi ndugu yangu!!!Kutokana na ukata hata trainning CCp hawajapelekwa wamepelelkwa moja kwa moja kwenye vituo vyao vya kazi
 
naona wakuu ajira mara hii ni mashaka matupu,kiasi kwamba hatuamniani,kwa mfano Muhimbili kuna jamaa anasifa kabisa hakuitwa,nashindwa kupata majibu ni vigezo gani wanavitumia hawa Wahaeshimiwa kuita watu kwenye Interview,napita tu
 
Hii kitu bado bana ila kama una GPA ya 3.7 and above subiri simu japo mko 2000 coz wenye Upper ni zaidi ya 4500
 
Hii kitu bado bana ila kama una GPA ya 3.7 and above subiri simu japo mko 2000 coz wenye Upper ni zaidi ya 4500

Acha kuzingua watu wewe! GPA 3.7 kwani wameomba kufundisha university? Kaongeze post zako kwenye chit-chat.
 
Back
Top Bottom