Opticf Member Joined Oct 4, 2012 Posts 62 Reaction score 4 Oct 6, 2012 #1 Samahan ntapataje nafasi hapo airtel ya customer care.
Rashidabdallah Member Joined Oct 5, 2012 Posts 29 Reaction score 1 Oct 6, 2012 #2 Peleka cv pale airtel.
Opticf Member Joined Oct 4, 2012 Posts 62 Reaction score 4 Oct 6, 2012 Thread starter #3 Ni kwa wenyewe airtel au kuna kampuni ambayo inahusika nao km erolink kwa voda
Rashidabdallah Member Joined Oct 5, 2012 Posts 29 Reaction score 1 Oct 6, 2012 #4 Ile kampuni inayoajiri customer care airtel inaitwa spanco,nenda pale uchumi ndio ofisi zao zipi
Opticf Member Joined Oct 4, 2012 Posts 62 Reaction score 4 Oct 7, 2012 Thread starter #5 Hivi kuwachukua watu kuwa customer care wanazingatia level gani ya elimu.?
G gyft Member Joined Apr 21, 2012 Posts 41 Reaction score 3 Oct 7, 2012 #6 Refaaa wako na bahati yako tu na kujtuma kwako
chumvichumvi JF-Expert Member Joined May 6, 2010 Posts 1,207 Reaction score 311 Oct 9, 2012 #7 Zaidi lugha ya kiingereza na kiswahili zina husika
kaburu mdogo JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 567 Reaction score 400 Oct 9, 2012 #8 changu cha kuunnga unga baana