hahahaha nyingi elfu hamsini
Elfu hamsini kama ni USD si ndogo hizo. Unaweza kuzipata kwenye ATM ?
elfu hamsin zim dollar unapata kwenye ATM
Nafurahi kukuongezea siku kwa kucheka.Hahahaha,
Habari yangu nzuri zaidi sasa nimecheka. Umenifurahisha sana.
Angalau naweza kujitapa nimekuja bongo nikataka kutoa fedha "nyingi" ATM mpaka zikasababisha "network error".
Thamani ya mtu kazi, pesa ni matokeo.
Hivi kuna watu wanaamini hivi bado?
Kweli mkuu mabank mengi yaende kujifunza kwao hata kama unaweka buku 2 kwao wewe ni mteja mhimu.
Exim temeke BrancH wamefunga Account yangu kwa maelekezo ya police without my concernt. Kuna kabalance kangu huko mwezi sasa nahangaiKa nao wanifungulie nikakwangue wapi. wananiambie niende Police nikapate maelezo na mimi naogopa police kama maana cjui hata kuna issue gani sijui. Wahuni tu Exim