Customer care Exim Bank ni mfano mzuri wa kuigwa...

Customer care Exim Bank ni mfano mzuri wa kuigwa...

elfu hamsin zim dollar unapata kwenye ATM

Bongo wanatoa noti za kibongo tu kwenye ATM. All the foreign currency talk should be prefaced with that.

I bet you, you can get a million Zims Dollar's equivalent.

Maybe even a billion.

And I am not even a betting man!
 
Hahahaha,

Habari yangu nzuri zaidi sasa nimecheka. Umenifurahisha sana.

Angalau naweza kujitapa nimekuja bongo nikataka kutoa fedha "nyingi" ATM mpaka zikasababisha "network error".

Thamani ya mtu kazi, pesa ni matokeo.

Hivi kuna watu wanaamini hivi bado?
Nafurahi kukuongezea siku kwa kucheka.
Mi naona siku hizi thamani ya mtu pesa ndugu yangu.
Litaheshimiwa liuza unga wewe mwenye kazi ya halali isiyo na kipato atakudhamini nani.
Si unasikia watu wanasema heshima pesa shikamoo makelele.
 
Kweli mkuu mabank mengi yaende kujifunza kwao hata kama unaweka buku 2 kwao wewe ni mteja mhimu.

umeona eeeh.
Raha sana wahudumu wakikuthamini hata kama mtu ni mlalahoi kama mimi unajisikia wa thamani.
 
Exim temeke BrancH wamefunga Account yangu kwa maelekezo ya police without my concernt. Kuna kabalance kangu huko mwezi sasa nahangaiKa nao wanifungulie nikakwangue wapi. wananiambie niende Police nikapate maelezo na mimi naogopa police kama maana cjui hata kuna issue gani sijui. Wahuni tu Exim

Mkuu Ngalangala pole kwa usumbufu ila mi naona hapa wee ndio mwenye kosa.
Kwanini uogope kwenda police wakupe hayo maelezo kama unajijua uko safi?
 
Back
Top Bottom