Kila mmoja wetu anajua jinsi asilima kubwa ya customer care ya ofisi nyingi za Tanzania ilivyo mbovu.Kila siku tumekua tukilalamika jinsi wafanyakazi wa huduma kwa wateja walivyo na lugha mbaya na dharau kwa wateja.
Ila tusiwe watu wakuandika pale tunapoona mabaya tu,wanaofanya vizuri tuwasifie ili wazidishe juhudi na wanaofanya vibaya wajifunze.
Kuna uzi fulani humu unazungumzia Dollar account,ule uzi ulinivutia na mimi na baadhi ya wakuu fulani tukahamisha mazungumzo PM mwishowe nikaamua kuchukua hatua ya kufanya kwa vitendo.Nikawapigia simu Exim bank.Nilipowapigia kwa mara ya kwanza nilifurahi sana jinsi mhudumu wa huduma kwa wateja alivyonipokea vizuri.Nimeongea nao zaidi ya mara moja na nimeongea na wahudumu tofauti tofauti na wote wana lugha nzuri sana.
Mimi hao ndio nimejisikia kuwasifia leo.
Ila tusiwe watu wakuandika pale tunapoona mabaya tu,wanaofanya vizuri tuwasifie ili wazidishe juhudi na wanaofanya vibaya wajifunze.
Kuna uzi fulani humu unazungumzia Dollar account,ule uzi ulinivutia na mimi na baadhi ya wakuu fulani tukahamisha mazungumzo PM mwishowe nikaamua kuchukua hatua ya kufanya kwa vitendo.Nikawapigia simu Exim bank.Nilipowapigia kwa mara ya kwanza nilifurahi sana jinsi mhudumu wa huduma kwa wateja alivyonipokea vizuri.Nimeongea nao zaidi ya mara moja na nimeongea na wahudumu tofauti tofauti na wote wana lugha nzuri sana.
Mimi hao ndio nimejisikia kuwasifia leo.