Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Watu wengi hudhani Kujali mteja ni kumuhudumia anachohitaji na kuzungumza nae kwa staha peke yake.
Kwa hizi biashara za kutoa huduma na uuzaji bidhaa kama biashara ya Bar, migahawa n.k unaweza kuta wahudumu wana lugha mbaya kati yao yaani wakidhani kwa kuwa hajazungumza na mteja hatomkwaza.
Wateja tunaona kumbe lugha wanayozungumza nasi si haiba yao, hii haileti picha ya huduma nzuri.
DukuDuku. [emoji41]
Kwa hizi biashara za kutoa huduma na uuzaji bidhaa kama biashara ya Bar, migahawa n.k unaweza kuta wahudumu wana lugha mbaya kati yao yaani wakidhani kwa kuwa hajazungumza na mteja hatomkwaza.
Wateja tunaona kumbe lugha wanayozungumza nasi si haiba yao, hii haileti picha ya huduma nzuri.
DukuDuku. [emoji41]