Mihayo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2010
- 268
- 63
Nipatwa na msiba wa aunt yangu. Jana kutokana na pilika za ofisi nika amua kununua ticket online. Nikalipa kwa mpesa leo nadamka asubuhi kuelekea mwz nafika airport nikaona niprint ticket, kwenda dirishani my God" Ticket yako haipoinaonekana ulikosea na sina jinsi ya kukusaidia kama una pesa nunua nyingine" Dada sasa hivyo visenti vyangu ya return itakuwaje, Itarudishwa. Watu wengine bwana..... Duh nikapapasa nikalipia one way nikoon board lakini lazima nipambane na huyu mdada fedhuli. Nimepewa nkmber ya supervisor nikishuka tu namtwangia. But mwenye number ya MD hapa anirushie au ani pm. Kaharibu mood yangu asubuhi yote hii. Wakikosa kazi wanaenda kwa waganga kuroga, wakipewa kazi taabu tupu nani katuroga sisi wabongo?Shame on that ....lady