Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Sizungumzii ukubwa wa kipato, wala silinganishi wingi wa wateja, nazungumzia suala la kulinda Privacy ya Mteja wako!
JamiiForums kwa kupitia Mkurugenzi wake Maxence Melo walikua tayari kufungwa jela na alishawekwa mahabusu ila SIO kutii AGIZO fake na kutoa taarifa za Wateja wake.
Tigo Tanzania wameshindwa na wamekiri kuwa hio sio priority kwao! Kwa hili napenda kuipongeza sana sana Jamii Forums.
Uligoma kuuza utu na heshima ya mtandao huu, kwahili Mungu akubariki sana sana.
Natamani uweke link ya ile kesi na hukumu yake hapa ili ikawe ukumbusho kwa vizazi vijavyo kuwa tuliwahi kupitishwa kwenye valley of shadow of death but you guys never gave up!
Kongole kwenu aibu kwa Tigo
JamiiForums kwa kupitia Mkurugenzi wake Maxence Melo walikua tayari kufungwa jela na alishawekwa mahabusu ila SIO kutii AGIZO fake na kutoa taarifa za Wateja wake.
Tigo Tanzania wameshindwa na wamekiri kuwa hio sio priority kwao! Kwa hili napenda kuipongeza sana sana Jamii Forums.
Uligoma kuuza utu na heshima ya mtandao huu, kwahili Mungu akubariki sana sana.
Natamani uweke link ya ile kesi na hukumu yake hapa ili ikawe ukumbusho kwa vizazi vijavyo kuwa tuliwahi kupitishwa kwenye valley of shadow of death but you guys never gave up!
Kongole kwenu aibu kwa Tigo