Customer Privacy: JF itaheshimika daima Vs tiGO Tanzania

Customer Privacy: JF itaheshimika daima Vs tiGO Tanzania

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Sizungumzii ukubwa wa kipato, wala silinganishi wingi wa wateja, nazungumzia suala la kulinda Privacy ya Mteja wako!

JamiiForums kwa kupitia Mkurugenzi wake Maxence Melo walikua tayari kufungwa jela na alishawekwa mahabusu ila SIO kutii AGIZO fake na kutoa taarifa za Wateja wake.

Tigo Tanzania wameshindwa na wamekiri kuwa hio sio priority kwao! Kwa hili napenda kuipongeza sana sana Jamii Forums.

Uligoma kuuza utu na heshima ya mtandao huu, kwahili Mungu akubariki sana sana.

Natamani uweke link ya ile kesi na hukumu yake hapa ili ikawe ukumbusho kwa vizazi vijavyo kuwa tuliwahi kupitishwa kwenye valley of shadow of death but you guys never gave up!

Kongole kwenu aibu kwa Tigo

1636012360214.jpeg
 
Tufanye mchakato wakuwa Platinum Member ili ipendeze zaidi.
Mwezi huu haupiti. Nilishaahidi Mara nyingi sana na ulikua mipango yangu wakati nasherehekea 13yrs humu ndani
 
JamiiForums haijawahi kutumiwa na magaidi, hakuna mlinganisho
 
Sindano zinawaingia magaidi , daktari endelea kupress harder mpak igote kwenye mfupa...! Tigo love it , live it
 
Tigo Tanzania! kama mnajitambua kweli, sitisheni mkataba haraka na yule Mwanasheria wenu uchwara mwenye majina lukuki.

Na kama mlimtuma kufanya ule upuuzi wa kumbambikia mtu asiye mteja wenu line bandia ya mtandao wenu, basi na nyinyi ni bure kabisa.
 
Back
Top Bottom